Menu
CB Ebay Scams PurseBlog Derauding eBay Buyers
PurseBlog

PurseBlog review: Derauding eBay Buyers 38

M
Author of the review
10:44 am EST
Resolved
The complaint has been investigated and resolved to the customer’s satisfaction.
Featured review
This review was chosen algorithmically as the most valued customer feedback.

The Purse Forum is defrauding innocent eBay buyers and sellers every day with false "authentications" and by promoting the sales of mirror image fake bags as authentic to naive visitors who think it's a help board. High-end handbag are a huge business on eBay at $1, 000 and up apiece. Because of this financial lure sellers at eBay are having extraordinary issues with what amounts to turf warfare, being waged by the organized assaults from The Purse Forum members.

This internet wolf in sheep's clothing is owned and run with an iron fist by the Eastern-European Dusil, family. TPF members are routinely selling mirror counterfeits on eBay using the method I describe below. TPF has teams of Jr members, trying to work their way onto the protected list, police eBay daily and file report copious reports to eBay falsely claiming the bags other sell are counterfeits. Since sellers who aren't told who reported them most don't even realize what has happened. Once a seller is on eBay's suspected list they can't sell that bag on eBay again. TPF "police" repeat this until sellers are banned from eBay, thus killing their competition. They also avoid eBay fees by diverting sales from eBay via the relationships they make on the TPF site. Once the eBay customer is on TPF site with potential buyers they exchanging contact info via the private messaging and sell off site direct.

Their scam begins with TPF members directing their eBay customers to go the Purse Forum to have the bag "authenticated". This takes the worry out of buying a bag on eBay. Little does the buyer know that the moderators of the site all have lists with members eBay site names. The site requests you link to the pictures for inspection. If the link comes from a seller site on the list and is being sold by one of their own member under TPF's protection, well then it's an automatic thumbs up...100% Authentic! If you're not one of their then it is either questionable of fake.

The Purse Forum is a sham site that empowers it's totally unqualified members with the power to "authenticate" handbags listed on eBay. Their only qualifications for making you an expert "authenticator"? You simply sign up, put your two cent worth in by commenting and you are an expert!Thus the Purse Forum destroys its competition and controls the sales of the expensive bags on eBay, all the while, giving the illusion of saving the seller from counterfeits.

They are effectively proliferating the sales of counterfeits to an unsuspecting buyer unhampered... free to distribute the counterfeits tax-free and without the chance of legal intervention. Remember these women are already victims of peer pressure (who spends $2000 on a bag?) so when numerous experts chime in at once (usually the same person with several user names) that this bag is authentic and so wonderful they are excited, impressed and primed to buy.

This is basically the same methods My Poupette was using before the LV lawsuit against eBay and TPF site. eBay is allowing TPF to sell their mirror counterfeits, abuse and exile their good sellers and eBay is losing many millions per year because of the strong arm tactics of these crafty and experienced professionals in knocking off authentic listings. The scariest part is they seem unable to find any way to control their behavior on their own eBay site!

Please write eBay and ask them to do some reconnaissance work here and learn what I'm talking about to prevent the next lawsuit. LV, and several other companies are already involved in investigating The Purse Forum site.

Contact eBay via the instant help and complaint often if you want to see them banned from eBay. And write to the FBI's internetcrime division ( http://www.ic3.gov/complaint/default.aspx ) and file a complaint.

Resolved

The complaint has been investigated and resolved to the customer’s satisfaction.

More PurseBlog reviews & complaints

PurseBlog - Fraud & harassment from the purse forum on ebay 519
Resolved
The complaint has been investigated and resolved to the customer’s satisfaction.
PurseBlog - scam 37
Resolved
The complaint has been investigated and resolved to the customer’s satisfaction.
PurseBlog - Proud NOT to be a member of the purse forum 15
Resolved
The complaint has been investigated and resolved to the customer’s satisfaction.
PurseBlog - liars 64
Resolved
The complaint has been investigated and resolved to the customer’s satisfaction.
PurseBlog - UNWARRANTED & UNFOUNDED ACCUSATIONS 11
Resolved
The complaint has been investigated and resolved to the customer’s satisfaction.
PurseBlog - Purse Forum supports sale of fakes by their advertiser 1
Resolved
The complaint has been investigated and resolved to the customer’s satisfaction.
38 comments
M
M
Mister Man
, US
Aug 08, 2010 8:47 pm EDT
Verified customer This comment was posted by a verified customer. Learn more

Mbumbumbu wa demokrasia waliomo katika chama tawala ni hatari zaidi

* Wadai pia demokrasia mbumbumbu

Na Mwandishi Wetu

IMEELEZWA kuwa makuzi hafifu ya demokrasia nchini ya mechangiwa na kuwepo ndani ya chama tawala kwa wananchi ambao ni mbumbumbu wa demokrasia kwa vile bado wanaamini mfumo wa chama kimoja.

Aidha imefafanuliwa kwamba umbumbumbu huo umewagubika hata baadhi ya watendaji katika chama hicho ambao pia hukutana na wananchi kama watendaji serikalini.

Hayo yameelezwa na wananchi waliozungumza na gazeti hili kufuatia kauli ya Rais Benjamin Mkapa aliyedai kwamba wapo mbumbumbu wa demokrasia.

Wakiyafafanua maelezo yao hayo, wananchi hao wamesema, kwa mfano, Mwenyekiti wa chama tawala anapotumia kofia yake ya Urais kushinikiza nguvu za dola kuzuia mikutano ya vyama vingine (pinzani) vya siasa husaidia kuwapotosha zaidi wale mbumbumbu wa demokrasia wanaodhani kuwa bado tupo kwenye mfumo wa chama kimoja.

Wamesema pia kwamba kuwepo kwa "demokrasia mbumbumbu" kumechangiwa kwa kiasi kikubwa na wale wanaodhani kuwa kununua kura, kuwahonga wapiga kura, kuiba kura, kutumia vitisho na hata nguvu za dola kupora kura na kukandamiza upinzani ni sehemu ya demokrasia.

Pia wameeleza kwamba wapo miongoni mwa mambumbumbu hao wa demokrasia walijiumbua wakati wa kampeni pale walipopanda kwenye majukwaa "wasijue cha kuzungumza ila kuanza kutumia maneno machafu dhidi ya wake za baadhi ya wagombea ambao hotuba zao zilijaa hoja nzito ambazo mambumbu walishindwa kuzijibu."

"Mambumbumbu wengi pia wamo ndani ya chama tawala. Hawa demokrasia yao ni 'demokrasia mbumbumbu' pia. Kwao mwananchi akijiunga na chama cha upinzani hustahili hata kunyimwa haki zake za msingi za kibinadamu na zile za kiraia. Baadhi ( ya mambumbumbu hao) hudhani kuwa ni halali hata kutumia nguvu za dola kumbughudhi na hata kumtesa mtu na familia yake kwa kumnyima ajira na njia yoyote ya kujitafutia riziki kuwa japo kwa biashara ya genge la nyanya. Ndio maana imekuwa kawaida ya wengi kuwaalika baadhi ya viongozi wa chama tawala kuwasimikia 'vijiwe' na bendera za mashina ili wapate uhalali wa kufungua magenge ya kujipatia riziki", alieleza Mwalimu Shaaban Hadidu.

Mwalimu Hadidu aliongeza kwamba baadhi ya mambumbumbu hao huwa hawaoni haya wala vibaya kuwaambia wananchi tundika bendera usalimike.

Wakizidi kuchambua kina cha umbumbumbu uliopo wananchi hao wamedai wapo pia mambumbumbu waliona sawa tu kutukana dini za baadhi ya wananchi kuwa ni wenye kuhongwa tena ndani ya majumba yao ya Ibada, na wengine wakadiriki hata kuwakodi watu waliojiita "masheikh" ili wapande majukwaa kukashifa dini za watu wanaoonekana kutokipenda chama cha mambumbumbu hao.

Wananchi hai pia walielezea kuwepo kwa umbumbumbu demokrasia upande wa upinzani pia. Wamesema mambumbumbu katika upande huo hudhani demokrasia maana yake kujipendekeza chama tawala ili "wasalimike, " na Msajili wa Vyama asije akataka kuhakiki vyama vyao kama bado vina wanachama, vinafanya mkutano wake kwa mujibu wa katiba na vinafanya uchaguzi wa kidemokrasia wa viongozi wake tangu viundwe miaka 8 iliyopita. "Miongoni mwao hawa wapo pia viongozi wa vyama ambao hawaishi kujipendekeza kwao huko, hufikia hata baadhi yao kutumiwa kama mapandikizi dhidi ya kambi ya upinzani, wanahribu vyama vyetu na sasa wanatufanya wote tuonekane hatuna maana" alilalamika Bw. Furaha Msonga.

Aidha, wananchi hao wamesema lipo pia swala la umoja wa kitaifa ambapo wametahadharisha .vyama vingi visiwe sababu ya kuvunja utaifa.

Hata hivyo wameongeza kutoa tahadhari kwamba watanzania waasitegemee kujenga utaifa huo huku baadhi ya viongozi kwenye chama tawala hawaishi kuwakashifu na kuwakejeli baadhi ya viongozi na wananchama wa vyama vya upinzani.

Wakitolea mfano wa jinsi viongozi wa chama tawla wanavyoweza kufanya kazi na wale wa upinzani kwa msalahi ya taifa, wananchi hao wamemtaja Mzee Nelson Mandela wa Afrika ya Kusini ambapo wamesema watu wa chama tawala wangejifunza toka Afrika Kusini au hata Marekani.

"Mandela alikuwa akifanyakazi na viongozi wa upinzani, na (George) Bush (wa Marekani) pia kaonesha hilo", alieleza mwanchi mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja tu la Mgana.­.

Waislamu watakiwa kuwa watekelezaji wa maamuzi

* Watakiwa kwatambua wale wanaokwamisha utekelezaji ambao ni vibaraka, waoga na wazembe

Na Mwandishi Wetu

WAISLAMU nchini wametakiwa kuyatekeleza yale yaliyoamuliwa na Mwenyezi Mungu (S.W.) na yakafundishwa kwao na Mtume wake (S.A.W.) kama moja ya ahadi juu yao.

Aidha wametakiwa vilevile kutekeleza na yale ambayo wao huyaamua kwa misingi ya dini yao na kisha wakaaomba dua kwa Mweneyzi Mungu (S.W.) awawafikishie.

Akitoa wito huo, Mhadhiri wa kiislamu jijini Dar es Salaam, Ustaadh Kondo Bungo amewaambia Waislamu kwamba maamrisho ya Mwenyezi Mungu (S.W.), mafundisho ya Mtume (S.A.W) na maamuzi wanayoyachukua Waislamu hao na kisha wakayaombea dua kwa Mwenyezi Mungu (S.W) awawafikishie yote hayo ni miongoni mwa ahadi mbele ya Mwenyezi Mungu (S.W.) ambazo wanayo dhima ya kuzitekeleza.

Ustaadhi Bungo alikuwa akiongea na Waislamu katika Msikiti wa Taqwa, uliopo Mwananyamala, Dar es Salaam, baada ya Swala ya I'sha, Jumapili, Januari 7 mwaka huu.

Akiufafanua msimamo wake huo juu ya suala hilo, Ustaadh Bungo alisema licha ya Waislamu wengi kuwa wanalijua jambo hilo bado kuna tatizo la utekelezaji wa ahadi hizo wanazozichukua na kisha aliwauliza Waislamu: "...nini kiini cha tatizo hili?".

Akifafanua kuhusu kiini cha tatizo hilo la kutotekelezwa ahadi hizo, Ustaadh Bungo alisema kwamba ahadi nyingi zinakwamishwa na watu wa aina tatu miongoni mwa umma wa Waislamu ambao aliwataja kuwa ni vibaraka, waoga na wazembe.

Akiwazungumzia vibaraka alisema: "mtu kibaraka ni (yule) ambaye mko naye msikitini na anapiga takbira kwa wingi lakini kesho utamkuta anajipendekeza kwa kiongozi anayewatukana Waislamu... na yeye ndio wa kwanza kupanga mstari kutoa mkono kwa kiongozi huyo (kama dalili ya salamu ya heshima)"

Ustaadhi Bungo aliendeleza uchambuzi wake ambapo alisema ikitokea Muislamu huyo kibaraka kuwa ni Imam au kiongozi wa Taasasi ya Kiislamu, basi yeye ndio huwa wa kwanza anapokuwa na hafla kuwaalika viongozi wenye kauli chafu dhidi ya Waislamu kuwa wageni rasmi.

Alilitaja kundi la pili kuwa ni Waislamu waoga ambao alisema hao nao ni tatizo. Alisema Waislamu walio katika kundi hilo, kutokana na woga wao, husahau kumhofu Mwenyezi Mungu (S.W.) na badala yake wakawahofu wanandamu wenzo kutokana na madaraka walionayo na vitisho vyao.

Ustaadhi Bungo aliwatamnabaisha Waislamu kwamba ikitokea mtu huyo mwoga kuwa Imam, sheikh au amir, basi anapotoa hotuba zake huwa anayumbayumba katika mada.

"Siku zote huwa hawasemi kweli watu hawa na wala hawafundishi yanayostahiki kuwa haki... kwa mfano badala ya kufundisha kuindoa dhuluma wao hufundisha kuikwepa", alieleza Ustaadh Bungo.

Akifafanua hoja yake hiyo alisema ikitokea 'grosari' imejengwa mbele ya msikiti, basi imamu au sheikh huyo mwoga hubadili njia badala ya kuwataka waumini "wakaiondoe grosari hiyo", na kisha akauliza: "je katika njia hiyo nyingine pakijengwa baa imam huyo na waumini watapita wapi?"

Akilitaja kundi la tatu Ustaadh Bungo alisema watu wake ni wazembe na akadai kwamba hao ni hatari zaidi.

Alisema wakati wale waoga hutoa visingizio vya "eti wanatumia hekima", waumini wazembe hudai "eti wanasubiri amiri wao aseme!"

Ustaadh Bungo ameeleza kuwa katika Uislamu, suala la kupambana na maovu kwa misingi ya dini hiyo ni amri, na kwamba amri yoyote ni ibada.

Akitolea mfano alisema: "Kuswali ni ibada na pindi wakti (wakati) unapotimu waumini huinuka wakaswali pasi na kumsubiri amir", na kisha akahoji, "sasa iweje suala la kuondoa maovu wasubiri kauli ya amir?"

Amesema, muda wa swala ukifika, waumini, wakiwemo wazembe hao, huinuka kwenda kuswali na wala hawasikiki wakitoa visingizio vyao vya kumsubiri amir, na aashangaa iweje katikia ibada zingine waumini wadai kumsubiri amir.

Ustaadh Bungo aliwataka waumini kuwatambua watu hao watatu wanaokwamisha utekelezaji wa ahadi wanazozichukua Waislamu ili wapate kuwaelimisha na pale inaposhindikana kuelimishwa basi wawaepuke kwa vile alisema watu hao ni kikwazo katika maendeleo ya jamii ya Waislamu.

Aizungumzia umuhimu wa kuwaelimisha, ustaadh huyo aliwakumbusha waumini msiktini hapo kisa cha Nabii Musa (A.S) aliyekimbilia Madiyan baada ya kukabiliwa na tuhuma ya kupiga mtu hadi kufa katika utawala wa Firauni.

Lakini wakati Musa akiwa Madiyan, Ustaadh Bungo alisema Mwenyezi Mungu alimwambia Musa (A.S) aende kwa Furauni "akamlinganie" aache kiburi chake cha kujidai yeye Mungu, kufanya dhuluma, mauaji ya raia na ukandamizaji uliokithiri.

Alisema, Musa (A.S), ambaye awali aliukimbia utawala wa Firauni kwa hofu ya tuhuma zilizokuwa zikimkabili, alilazimika kuishinda nafsi yake iliyokuwa ikimuhofu Firauni ambaye alikuwa ni kiumbe na mwanadamu kama yeye Musa (A.S).

"Musa (A.S) akaacha mara moja kumhofu Firauni na badala yake akazidisha kumhofu Allah (S.W) (hivyo) akaamua kwenda kumkabili Firauni licha ya maguvu yake ya dola na wapambe wake wachawi na washirikina", alifafanua Ustaadh Bungo.

Alisema Musa (A.S) aifanikiwa kumshinda Firauni na kuwakomboa wananchi waliokuwa wakiteseka chini ya utawala huo wa kidhalimu wa Firauni.

Aidha, kuhusu kundi la waislamu wazembe, Ustaadh Bungo aliwakumbusha Waislamu mazingira ya enzi ya Mtume (S.A.W) ambapo alisema katika vita zote zilizopiganwa wakati huo na ambazo zilijulikana kama "Ghazua", waumini baada ya kujua kuwa walikuwa wakipigana kwa amri ya Mola wao na haki ya dini yao, hawakuwa wakizembea kwa kujenga visingizio vya kusubiri amri ya Mtume (S.A.W), bali kila walipoona dhuluma, vita au shari ikielekezwa kwao walipamabna nayo.

"Ama kwa wale vibaraka", alisema Ustaadh Bungo, "hawa ni wa kupigwa vita sambamba na madhalimu wanaowaweka mbele na kuwapa majukwaa ya kuwatusi Waislamu".
'Hajj Trust' yaongeza huduma kwa mahujaji

* Usafiri wa Jeddah-Madina sasa kwa ndege

Na Mwandishi Wetu

Mahujaji wa Tanzania watakaokwenda Hija kuanzia mwaka huu watapatiwa usafiri wa ndege kutoka Jeddah kwenda Madina ili kukwepa uchovu wa safari ndefu ya masaa nane kati ya miji hiyo miwili ambao wangeupata endapo wangetumia usafiri wa basi.

Hayo yalisemwa na Katibu Mkuu wa Taasisi ya Kiislamu inayoshughulikia masuala ya Hija hapa nchini, Tanzania Muslim Hajj Trust, Abdallah M.Jabir, alipokuwa akizungumza na NASAHA kuhusu maandalizi ya Hija ya mwaka huu.

Jabiri amesema kuwa nyongeza hiyo ya huduma ya usafiri wa ndege kwa kutumia ndege ya Shirika la Ndege la Saudi Arabia, Saudi Airlines, haitaathiri huduma nyingine zitolewazo na taasisi yake wala ongezeko la gharama kutoka kwa Mahujaji. Gharama za Hija kwa mwaka huu kama ilivyotangazwa na taasisi yake ni dola za Kimarekani 1600, ikiwa ni ongezeko la dola 100 zaidi kutokana na kupanda kwa gharama za huduma za ndani za serikali nchini Saudi Arabia.

Alizitaja huduma nyingine kwa uchache wazitoazo kwa Mahujaji kuwa ni pamoja na chakula kwa siku zote wawapo katika miji ya Maka, Madina na Mina na huduma ya matabibu wa kiume na wa [censored] wakati wa Hija. Huduma nyingine ni za waongozaji Mahujaji katika miji hiyo mitatu na ziara za maeneo matakatifu ya kihistoria zilizopo Madina.

Aidha alisema matayarisho ya Ibada ya Hija ya mwaka huu yalishaanza toka miezi sita iliyopita ambapo mpaka sasa Waislamu zaidi ya 200 tayari wamejiorodhesha, lengo likiwa ni kusafirisha Mahujaji kati ya 350 na 400.

Akijibu swali la mwandishi kwanini wasitumie ndege za Shirika la Ndege la Yemen ambazo inasamekana bei zake ni nafuu sana, Jabir alisema Hajj Trust hutumia ndege za kukodi za shirika la ndege Tanzania (ATC) ambazo pamoja na kuwa huenda moja kwa moja Jeddah, lakini pia wanajihisi ufahari kama wazalendo kushuka katika uwanja wa ndege wa kigeni wakiwa na ndege yenye alama ya Taifa wanalotoka.

"Sisi ni wazalendo wa Taifa hili, tunasikia ufahari pesa za Watanzania zinapobaki katika mikono ya Watanzania wenyewe badala ya kuzipeleka kwa watu wa nje... Lakini pia ni ufahani kushuka Jeddah tukiwa kwenye ndege yenye nembo ya Taifa letu", alisema Katibu Mkuu hayo wa Hajj Trust.

Hata hivyo, alidai kuwa tofauti kati ya nauli inayotozwa na ndege ya shirika hilo la Yemen na ile inayotozwa katika ndege za ATC ni dola 15 tu, huku safari za ATC zikiwa ni za moja kwa moja na hivyo kupunguza usumbufu kwa Mahujaji kwa kupanda na kushuka wabadilishapo ndege wakiwa njiani.

"Safari hizi za ndege ya Yemen sio kitu kipya, zimeanza toka toka Novemba 1999. Hata sisi huko nyuma tuliwahi kutumia ndege zao kusafirishia waumini waliokwenda (kufanya Ibada ya) Umra, " alisema Jabir.

Ratiba ya safari za Hija kama ilivyooneshwa kwa mwandishi ni kuwa ndege zitaondoka Dar es Salaam kwenda Jeddah Februari 17, 18, 19 na 23, na zile za kurudi zitaanzia Machi 11, mwaka huu.

Mbumbumbu wa demokrasia waliomo katika chama tawala ni hatari zaidi

* Wadai pia demokrasia mbumbumbu

Na Mwandishi Wetu

IMEELEZWA kuwa makuzi hafifu ya demokrasia nchini ya mechangiwa na kuwepo ndani ya chama tawala kwa wananchi ambao ni mbumbumbu wa demokrasia kwa vile bado wanaamini mfumo wa chama kimoja.

Aidha imefafanuliwa kwamba umbumbumbu huo umewagubika hata baadhi ya watendaji katika chama hicho ambao pia hukutana na wananchi kama watendaji serikalini.

Hayo yameelezwa na wananchi waliozungumza na gazeti hili kufuatia kauli ya Rais Benjamin Mkapa aliyedai kwamba wapo mbumbumbu wa demokrasia.

Wakiyafafanua maelezo yao hayo, wananchi hao wamesema, kwa mfano, Mwenyekiti wa chama tawala anapotumia kofia yake ya Urais kushinikiza nguvu za dola kuzuia mikutano ya vyama vingine (pinzani) vya siasa husaidia kuwapotosha zaidi wale mbumbumbu wa demokrasia wanaodhani kuwa bado tupo kwenye mfumo wa chama kimoja.

Wamesema pia kwamba kuwepo kwa "demokrasia mbumbumbu" kumechangiwa kwa kiasi kikubwa na wale wanaodhani kuwa kununua kura, kuwahonga wapiga kura, kuiba kura, kutumia vitisho na hata nguvu za dola kupora kura na kukandamiza upinzani ni sehemu ya demokrasia.

Pia wameeleza kwamba wapo miongoni mwa mambumbumbu hao wa demokrasia walijiumbua wakati wa kampeni pale walipopanda kwenye majukwaa "wasijue cha kuzungumza ila kuanza kutumia maneno machafu dhidi ya wake za baadhi ya wagombea ambao hotuba zao zilijaa hoja nzito ambazo mambumbu walishindwa kuzijibu."

"Mambumbumbu wengi pia wamo ndani ya chama tawala. Hawa demokrasia yao ni 'demokrasia mbumbumbu' pia. Kwao mwananchi akijiunga na chama cha upinzani hustahili hata kunyimwa haki zake za msingi za kibinadamu na zile za kiraia. Baadhi ( ya mambumbumbu hao) hudhani kuwa ni halali hata kutumia nguvu za dola kumbughudhi na hata kumtesa mtu na familia yake kwa kumnyima ajira na njia yoyote ya kujitafutia riziki kuwa japo kwa biashara ya genge la nyanya. Ndio maana imekuwa kawaida ya wengi kuwaalika baadhi ya viongozi wa chama tawala kuwasimikia 'vijiwe' na bendera za mashina ili wapate uhalali wa kufungua magenge ya kujipatia riziki", alieleza Mwalimu Shaaban Hadidu.

Mwalimu Hadidu aliongeza kwamba baadhi ya mambumbumbu hao huwa hawaoni haya wala vibaya kuwaambia wananchi tundika bendera usalimike.

Wakizidi kuchambua kina cha umbumbumbu uliopo wananchi hao wamedai wapo pia mambumbumbu waliona sawa tu kutukana dini za baadhi ya wananchi kuwa ni wenye kuhongwa tena ndani ya majumba yao ya Ibada, na wengine wakadiriki hata kuwakodi watu waliojiita "masheikh" ili wapande majukwaa kukashifa dini za watu wanaoonekana kutokipenda chama cha mambumbumbu hao.

Wananchi hai pia walielezea kuwepo kwa umbumbumbu demokrasia upande wa upinzani pia. Wamesema mambumbumbu katika upande huo hudhani demokrasia maana yake kujipendekeza chama tawala ili "wasalimike, " na Msajili wa Vyama asije akataka kuhakiki vyama vyao kama bado vina wanachama, vinafanya mkutano wake kwa mujibu wa katiba na vinafanya uchaguzi wa kidemokrasia wa viongozi wake tangu viundwe miaka 8 iliyopita. "Miongoni mwao hawa wapo pia viongozi wa vyama ambao hawaishi kujipendekeza kwao huko, hufikia hata baadhi yao kutumiwa kama mapandikizi dhidi ya kambi ya upinzani, wanahribu vyama vyetu na sasa wanatufanya wote tuonekane hatuna maana" alilalamika Bw. Furaha Msonga.

Aidha, wananchi hao wamesema lipo pia swala la umoja wa kitaifa ambapo wametahadharisha .vyama vingi visiwe sababu ya kuvunja utaifa.

Hata hivyo wameongeza kutoa tahadhari kwamba watanzania waasitegemee kujenga utaifa huo huku baadhi ya viongozi kwenye chama tawala hawaishi kuwakashifu na kuwakejeli baadhi ya viongozi na wananchama wa vyama vya upinzani.

Wakitolea mfano wa jinsi viongozi wa chama tawla wanavyoweza kufanya kazi na wale wa upinzani kwa msalahi ya taifa, wananchi hao wamemtaja Mzee Nelson Mandela wa Afrika ya Kusini ambapo wamesema watu wa chama tawala wangejifunza toka Afrika Kusini au hata Marekani.

"Mandela alikuwa akifanyakazi na viongozi wa upinzani, na (George) Bush (wa Marekani) pia kaonesha hilo", alieleza mwanchi mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja tu la Mgana.­.

Waislamu watakiwa kuwa watekelezaji wa maamuzi

* Watakiwa kwatambua wale wanaokwamisha utekelezaji ambao ni vibaraka, waoga na wazembe

Na Mwandishi Wetu

WAISLAMU nchini wametakiwa kuyatekeleza yale yaliyoamuliwa na Mwenyezi Mungu (S.W.) na yakafundishwa kwao na Mtume wake (S.A.W.) kama moja ya ahadi juu yao.

Aidha wametakiwa vilevile kutekeleza na yale ambayo wao huyaamua kwa misingi ya dini yao na kisha wakaaomba dua kwa Mweneyzi Mungu (S.W.) awawafikishie.

Akitoa wito huo, Mhadhiri wa kiislamu jijini Dar es Salaam, Ustaadh Kondo Bungo amewaambia Waislamu kwamba maamrisho ya Mwenyezi Mungu (S.W.), mafundisho ya Mtume (S.A.W) na maamuzi wanayoyachukua Waislamu hao na kisha wakayaombea dua kwa Mwenyezi Mungu (S.W) awawafikishie yote hayo ni miongoni mwa ahadi mbele ya Mwenyezi Mungu (S.W.) ambazo wanayo dhima ya kuzitekeleza.

Ustaadhi Bungo alikuwa akiongea na Waislamu katika Msikiti wa Taqwa, uliopo Mwananyamala, Dar es Salaam, baada ya Swala ya I'sha, Jumapili, Januari 7 mwaka huu.

Akiufafanua msimamo wake huo juu ya suala hilo, Ustaadh Bungo alisema licha ya Waislamu wengi kuwa wanalijua jambo hilo bado kuna tatizo la utekelezaji wa ahadi hizo wanazozichukua na kisha aliwauliza Waislamu: "...nini kiini cha tatizo hili?".

Akifafanua kuhusu kiini cha tatizo hilo la kutotekelezwa ahadi hizo, Ustaadh Bungo alisema kwamba ahadi nyingi zinakwamishwa na watu wa aina tatu miongoni mwa umma wa Waislamu ambao aliwataja kuwa ni vibaraka, waoga na wazembe.

Akiwazungumzia vibaraka alisema: "mtu kibaraka ni (yule) ambaye mko naye msikitini na anapiga takbira kwa wingi lakini kesho utamkuta anajipendekeza kwa kiongozi anayewatukana Waislamu... na yeye ndio wa kwanza kupanga mstari kutoa mkono kwa kiongozi huyo (kama dalili ya salamu ya heshima)"

Ustaadhi Bungo aliendeleza uchambuzi wake ambapo alisema ikitokea Muislamu huyo kibaraka kuwa ni Imam au kiongozi wa Taasasi ya Kiislamu, basi yeye ndio huwa wa kwanza anapokuwa na hafla kuwaalika viongozi wenye kauli chafu dhidi ya Waislamu kuwa wageni rasmi.

Alilitaja kundi la pili kuwa ni Waislamu waoga ambao alisema hao nao ni tatizo. Alisema Waislamu walio katika kundi hilo, kutokana na woga wao, husahau kumhofu Mwenyezi Mungu (S.W.) na badala yake wakawahofu wanandamu wenzo kutokana na madaraka walionayo na vitisho vyao.

Ustaadhi Bungo aliwatamnabaisha Waislamu kwamba ikitokea mtu huyo mwoga kuwa Imam, sheikh au amir, basi anapotoa hotuba zake huwa anayumbayumba katika mada.

"Siku zote huwa hawasemi kweli watu hawa na wala hawafundishi yanayostahiki kuwa haki... kwa mfano badala ya kufundisha kuindoa dhuluma wao hufundisha kuikwepa", alieleza Ustaadh Bungo.

Akifafanua hoja yake hiyo alisema ikitokea 'grosari' imejengwa mbele ya msikiti, basi imamu au sheikh huyo mwoga hubadili njia badala ya kuwataka waumini "wakaiondoe grosari hiyo", na kisha akauliza: "je katika njia hiyo nyingine pakijengwa baa imam huyo na waumini watapita wapi?"

Akilitaja kundi la tatu Ustaadh Bungo alisema watu wake ni wazembe na akadai kwamba hao ni hatari zaidi.

Alisema wakati wale waoga hutoa visingizio vya "eti wanatumia hekima", waumini wazembe hudai "eti wanasubiri amiri wao aseme!"

Ustaadh Bungo ameeleza kuwa katika Uislamu, suala la kupambana na maovu kwa misingi ya dini hiyo ni amri, na kwamba amri yoyote ni ibada.

Akitolea mfano alisema: "Kuswali ni ibada na pindi wakti (wakati) unapotimu waumini huinuka wakaswali pasi na kumsubiri amir", na kisha akahoji, "sasa iweje suala la kuondoa maovu wasubiri kauli ya amir?"

Amesema, muda wa swala ukifika, waumini, wakiwemo wazembe hao, huinuka kwenda kuswali na wala hawasikiki wakitoa visingizio vyao vya kumsubiri amir, na aashangaa iweje katikia ibada zingine waumini wadai kumsubiri amir.

Ustaadh Bungo aliwataka waumini kuwatambua watu hao watatu wanaokwamisha utekelezaji wa ahadi wanazozichukua Waislamu ili wapate kuwaelimisha na pale inaposhindikana kuelimishwa basi wawaepuke kwa vile alisema watu hao ni kikwazo katika maendeleo ya jamii ya Waislamu.

Aizungumzia umuhimu wa kuwaelimisha, ustaadh huyo aliwakumbusha waumini msiktini hapo kisa cha Nabii Musa (A.S) aliyekimbilia Madiyan baada ya kukabiliwa na tuhuma ya kupiga mtu hadi kufa katika utawala wa Firauni.

Lakini wakati Musa akiwa Madiyan, Ustaadh Bungo alisema Mwenyezi Mungu alimwambia Musa (A.S) aende kwa Furauni "akamlinganie" aache kiburi chake cha kujidai yeye Mungu, kufanya dhuluma, mauaji ya raia na ukandamizaji uliokithiri.

Alisema, Musa (A.S), ambaye awali aliukimbia utawala wa Firauni kwa hofu ya tuhuma zilizokuwa zikimkabili, alilazimika kuishinda nafsi yake iliyokuwa ikimuhofu Firauni ambaye alikuwa ni kiumbe na mwanadamu kama yeye Musa (A.S).

"Musa (A.S) akaacha mara moja kumhofu Firauni na badala yake akazidisha kumhofu Allah (S.W) (hivyo) akaamua kwenda kumkabili Firauni licha ya maguvu yake ya dola na wapambe wake wachawi na washirikina", alifafanua Ustaadh Bungo.

Alisema Musa (A.S) aifanikiwa kumshinda Firauni na kuwakomboa wananchi waliokuwa wakiteseka chini ya utawala huo wa kidhalimu wa Firauni.

Aidha, kuhusu kundi la waislamu wazembe, Ustaadh Bungo aliwakumbusha Waislamu mazingira ya enzi ya Mtume (S.A.W) ambapo alisema katika vita zote zilizopiganwa wakati huo na ambazo zilijulikana kama "Ghazua", waumini baada ya kujua kuwa walikuwa wakipigana kwa amri ya Mola wao na haki ya dini yao, hawakuwa wakizembea kwa kujenga visingizio vya kusubiri amri ya Mtume (S.A.W), bali kila walipoona dhuluma, vita au shari ikielekezwa kwao walipamabna nayo.

"Ama kwa wale vibaraka", alisema Ustaadh Bungo, "hawa ni wa kupigwa vita sambamba na madhalimu wanaowaweka mbele na kuwapa majukwaa ya kuwatusi Waislamu".
'Hajj Trust' yaongeza huduma kwa mahujaji

* Usafiri wa Jeddah-Madina sasa kwa ndege

Na Mwandishi Wetu

Mahujaji wa Tanzania watakaokwenda Hija kuanzia mwaka huu watapatiwa usafiri wa ndege kutoka Jeddah kwenda Madina ili kukwepa uchovu wa safari ndefu ya masaa nane kati ya miji hiyo miwili ambao wangeupata endapo wangetumia usafiri wa basi.

Hayo yalisemwa na Katibu Mkuu wa Taasisi ya Kiislamu inayoshughulikia masuala ya Hija hapa nchini, Tanzania Muslim Hajj Trust, Abdallah M.Jabir, alipokuwa akizungumza na NASAHA kuhusu maandalizi ya Hija ya mwaka huu.

Jabiri amesema kuwa nyongeza hiyo ya huduma ya usafiri wa ndege kwa kutumia ndege ya Shirika la Ndege la Saudi Arabia, Saudi Airlines, haitaathiri huduma nyingine zitolewazo na taasisi yake wala ongezeko la gharama kutoka kwa Mahujaji. Gharama za Hija kwa mwaka huu kama ilivyotangazwa na taasisi yake ni dola za Kimarekani 1600, ikiwa ni ongezeko la dola 100 zaidi kutokana na kupanda kwa gharama za huduma za ndani za serikali nchini Saudi Arabia.

Alizitaja huduma nyingine kwa uchache wazitoazo kwa Mahujaji kuwa ni pamoja na chakula kwa siku zote wawapo katika miji ya Maka, Madina na Mina na huduma ya matabibu wa kiume na wa [censored] wakati wa Hija. Huduma nyingine ni za waongozaji Mahujaji katika miji hiyo mitatu na ziara za maeneo matakatifu ya kihistoria zilizopo Madina.

Aidha alisema matayarisho ya Ibada ya Hija ya mwaka huu yalishaanza toka miezi sita iliyopita ambapo mpaka sasa Waislamu zaidi ya 200 tayari wamejiorodhesha, lengo likiwa ni kusafirisha Mahujaji kati ya 350 na 400.

Akijibu swali la mwandishi kwanini wasitumie ndege za Shirika la Ndege la Yemen ambazo inasamekana bei zake ni nafuu sana, Jabir alisema Hajj Trust hutumia ndege za kukodi za shirika la ndege Tanzania (ATC) ambazo pamoja na kuwa huenda moja kwa moja Jeddah, lakini pia wanajihisi ufahari kama wazalendo kushuka katika uwanja wa ndege wa kigeni wakiwa na ndege yenye alama ya Taifa wanalotoka.

"Sisi ni wazalendo wa Taifa hili, tunasikia ufahari pesa za Watanzania zinapobaki katika mikono ya Watanzania wenyewe badala ya kuzipeleka kwa watu wa nje... Lakini pia ni ufahani kushuka Jeddah tukiwa kwenye ndege yenye nembo ya Taifa letu", alisema Katibu Mkuu hayo wa Hajj Trust.

Hata hivyo, alidai kuwa tofauti kati ya nauli inayotozwa na ndege ya shirika hilo la Yemen na ile inayotozwa katika ndege za ATC ni dola 15 tu, huku safari za ATC zikiwa ni za moja kwa moja na hivyo kupunguza usumbufu kwa Mahujaji kwa kupanda na kushuka wabadilishapo ndege wakiwa njiani.

"Safari hizi za ndege ya Yemen sio kitu kipya, zimeanza toka toka Novemba 1999. Hata sisi huko nyuma tuliwahi kutumia ndege zao kusafirishia waumini waliokwenda (kufanya Ibada ya) Umra, " alisema Jabir.

Ratiba ya safari za Hija kama ilivyooneshwa kwa mwandishi ni kuwa ndege zitaondoka Dar es Salaam kwenda Jeddah Februari 17, 18, 19 na 23, na zile za kurudi zitaanzia Machi 11, mwaka huu.

Mbumbumbu wa demokrasia waliomo katika chama tawala ni hatari zaidi

* Wadai pia demokrasia mbumbumbu

Na Mwandishi Wetu

IMEELEZWA kuwa makuzi hafifu ya demokrasia nchini ya mechangiwa na kuwepo ndani ya chama tawala kwa wananchi ambao ni mbumbumbu wa demokrasia kwa vile bado wanaamini mfumo wa chama kimoja.

Aidha imefafanuliwa kwamba umbumbumbu huo umewagubika hata baadhi ya watendaji katika chama hicho ambao pia hukutana na wananchi kama watendaji serikalini.

Hayo yameelezwa na wananchi waliozungumza na gazeti hili kufuatia kauli ya Rais Benjamin Mkapa aliyedai kwamba wapo mbumbumbu wa demokrasia.

Wakiyafafanua maelezo yao hayo, wananchi hao wamesema, kwa mfano, Mwenyekiti wa chama tawala anapotumia kofia yake ya Urais kushinikiza nguvu za dola kuzuia mikutano ya vyama vingine (pinzani) vya siasa husaidia kuwapotosha zaidi wale mbumbumbu wa demokrasia wanaodhani kuwa bado tupo kwenye mfumo wa chama kimoja.

Wamesema pia kwamba kuwepo kwa "demokrasia mbumbumbu" kumechangiwa kwa kiasi kikubwa na wale wanaodhani kuwa kununua kura, kuwahonga wapiga kura, kuiba kura, kutumia vitisho na hata nguvu za dola kupora kura na kukandamiza upinzani ni sehemu ya demokrasia.

Pia wameeleza kwamba wapo miongoni mwa mambumbumbu hao wa demokrasia walijiumbua wakati wa kampeni pale walipopanda kwenye majukwaa "wasijue cha kuzungumza ila kuanza kutumia maneno machafu dhidi ya wake za baadhi ya wagombea ambao hotuba zao zilijaa hoja nzito ambazo mambumbu walishindwa kuzijibu."

"Mambumbumbu wengi pia wamo ndani ya chama tawala. Hawa demokrasia yao ni 'demokrasia mbumbumbu' pia. Kwao mwananchi akijiunga na chama cha upinzani hustahili hata kunyimwa haki zake za msingi za kibinadamu na zile za kiraia. Baadhi ( ya mambumbumbu hao) hudhani kuwa ni halali hata kutumia nguvu za dola kumbughudhi na hata kumtesa mtu na familia yake kwa kumnyima ajira na njia yoyote ya kujitafutia riziki kuwa japo kwa biashara ya genge la nyanya. Ndio maana imekuwa kawaida ya wengi kuwaalika baadhi ya viongozi wa chama tawala kuwasimikia 'vijiwe' na bendera za mashina ili wapate uhalali wa kufungua magenge ya kujipatia riziki", alieleza Mwalimu Shaaban Hadidu.

Mwalimu Hadidu aliongeza kwamba baadhi ya mambumbumbu hao huwa hawaoni haya wala vibaya kuwaambia wananchi tundika bendera usalimike.

Wakizidi kuchambua kina cha umbumbumbu uliopo wananchi hao wamedai wapo pia mambumbumbu waliona sawa tu kutukana dini za baadhi ya wananchi kuwa ni wenye kuhongwa tena ndani ya majumba yao ya Ibada, na wengine wakadiriki hata kuwakodi watu waliojiita "masheikh" ili wapande majukwaa kukashifa dini za watu wanaoonekana kutokipenda chama cha mambumbumbu hao.

Wananchi hai pia walielezea kuwepo kwa umbumbumbu demokrasia upande wa upinzani pia. Wamesema mambumbumbu katika upande huo hudhani demokrasia maana yake kujipendekeza chama tawala ili "wasalimike, " na Msajili wa Vyama asije akataka kuhakiki vyama vyao kama bado vina wanachama, vinafanya mkutano wake kwa mujibu wa katiba na vinafanya uchaguzi wa kidemokrasia wa viongozi wake tangu viundwe miaka 8 iliyopita. "Miongoni mwao hawa wapo pia viongozi wa vyama ambao hawaishi kujipendekeza kwao huko, hufikia hata baadhi yao kutumiwa kama mapandikizi dhidi ya kambi ya upinzani, wanahribu vyama vyetu na sasa wanatufanya wote tuonekane hatuna maana" alilalamika Bw. Furaha Msonga.

Aidha, wananchi hao wamesema lipo pia swala la umoja wa kitaifa ambapo wametahadharisha .vyama vingi visiwe sababu ya kuvunja utaifa.

Hata hivyo wameongeza kutoa tahadhari kwamba watanzania waasitegemee kujenga utaifa huo huku baadhi ya viongozi kwenye chama tawala hawaishi kuwakashifu na kuwakejeli baadhi ya viongozi na wananchama wa vyama vya upinzani.

Wakitolea mfano wa jinsi viongozi wa chama tawla wanavyoweza kufanya kazi na wale wa upinzani kwa msalahi ya taifa, wananchi hao wamemtaja Mzee Nelson Mandela wa Afrika ya Kusini ambapo wamesema watu wa chama tawala wangejifunza toka Afrika Kusini au hata Marekani.

"Mandela alikuwa akifanyakazi na viongozi wa upinzani, na (George) Bush (wa Marekani) pia kaonesha hilo", alieleza mwanchi mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja tu la Mgana.­.

Waislamu watakiwa kuwa watekelezaji wa maamuzi

* Watakiwa kwatambua wale wanaokwamisha utekelezaji ambao ni vibaraka, waoga na wazembe

Na Mwandishi Wetu

WAISLAMU nchini wametakiwa kuyatekeleza yale yaliyoamuliwa na Mwenyezi Mungu (S.W.) na yakafundishwa kwao na Mtume wake (S.A.W.) kama moja ya ahadi juu yao.

Aidha wametakiwa vilevile kutekeleza na yale ambayo wao huyaamua kwa misingi ya dini yao na kisha wakaaomba dua kwa Mweneyzi Mungu (S.W.) awawafikishie.

Akitoa wito huo, Mhadhiri wa kiislamu jijini Dar es Salaam, Ustaadh Kondo Bungo amewaambia Waislamu kwamba maamrisho ya Mwenyezi Mungu (S.W.), mafundisho ya Mtume (S.A.W) na maamuzi wanayoyachukua Waislamu hao na kisha wakayaombea dua kwa Mwenyezi Mungu (S.W) awawafikishie yote hayo ni miongoni mwa ahadi mbele ya Mwenyezi Mungu (S.W.) ambazo wanayo dhima ya kuzitekeleza.

Ustaadhi Bungo alikuwa akiongea na Waislamu katika Msikiti wa Taqwa, uliopo Mwananyamala, Dar es Salaam, baada ya Swala ya I'sha, Jumapili, Januari 7 mwaka huu.

Akiufafanua msimamo wake huo juu ya suala hilo, Ustaadh Bungo alisema licha ya Waislamu wengi kuwa wanalijua jambo hilo bado kuna tatizo la utekelezaji wa ahadi hizo wanazozichukua na kisha aliwauliza Waislamu: "...nini kiini cha tatizo hili?".

Akifafanua kuhusu kiini cha tatizo hilo la kutotekelezwa ahadi hizo, Ustaadh Bungo alisema kwamba ahadi nyingi zinakwamishwa na watu wa aina tatu miongoni mwa umma wa Waislamu ambao aliwataja kuwa ni vibaraka, waoga na wazembe.

Akiwazungumzia vibaraka alisema: "mtu kibaraka ni (yule) ambaye mko naye msikitini na anapiga takbira kwa wingi lakini kesho utamkuta anajipendekeza kwa kiongozi anayewatukana Waislamu... na yeye ndio wa kwanza kupanga mstari kutoa mkono kwa kiongozi huyo (kama dalili ya salamu ya heshima)"

Ustaadhi Bungo aliendeleza uchambuzi wake ambapo alisema ikitokea Muislamu huyo kibaraka kuwa ni Imam au kiongozi wa Taasasi ya Kiislamu, basi yeye ndio huwa wa kwanza anapokuwa na hafla kuwaalika viongozi wenye kauli chafu dhidi ya Waislamu kuwa wageni rasmi.

Alilitaja kundi la pili kuwa ni Waislamu waoga ambao alisema hao nao ni tatizo. Alisema Waislamu walio katika kundi hilo, kutokana na woga wao, husahau kumhofu Mwenyezi Mungu (S.W.) na badala yake wakawahofu wanandamu wenzo kutokana na madaraka walionayo na vitisho vyao.

Ustaadhi Bungo aliwatamnabaisha Waislamu kwamba ikitokea mtu huyo mwoga kuwa Imam, sheikh au amir, basi anapotoa hotuba zake huwa anayumbayumba katika mada.

"Siku zote huwa hawasemi kweli watu hawa na wala hawafundishi yanayostahiki kuwa haki... kwa mfano badala ya kufundisha kuindoa dhuluma wao hufundisha kuikwepa", alieleza Ustaadh Bungo.

Akifafanua hoja yake hiyo alisema ikitokea 'grosari' imejengwa mbele ya msikiti, basi imamu au sheikh huyo mwoga hubadili njia badala ya kuwataka waumini "wakaiondoe grosari hiyo", na kisha akauliza: "je katika njia hiyo nyingine pakijengwa baa imam huyo na waumini watapita wapi?"

Akilitaja kundi la tatu Ustaadh Bungo alisema watu wake ni wazembe na akadai kwamba hao ni hatari zaidi.

Alisema wakati wale waoga hutoa visingizio vya "eti wanatumia hekima", waumini wazembe hudai "eti wanasubiri amiri wao aseme!"

Ustaadh Bungo ameeleza kuwa katika Uislamu, suala la kupambana na maovu kwa misingi ya dini hiyo ni amri, na kwamba amri yoyote ni ibada.

Akitolea mfano alisema: "Kuswali ni ibada na pindi wakti (wakati) unapotimu waumini huinuka wakaswali pasi na kumsubiri amir", na kisha akahoji, "sasa iweje suala la kuondoa maovu wasubiri kauli ya amir?"

Amesema, muda wa swala ukifika, waumini, wakiwemo wazembe hao, huinuka kwenda kuswali na wala hawasikiki wakitoa visingizio vyao vya kumsubiri amir, na aashangaa iweje katikia ibada zingine waumini wadai kumsubiri amir.

Ustaadh Bungo aliwataka waumini kuwatambua watu hao watatu wanaokwamisha utekelezaji wa ahadi wanazozichukua Waislamu ili wapate kuwaelimisha na pale inaposhindikana kuelimishwa basi wawaepuke kwa vile alisema watu hao ni kikwazo katika maendeleo ya jamii ya Waislamu.

Aizungumzia umuhimu wa kuwaelimisha, ustaadh huyo aliwakumbusha waumini msiktini hapo kisa cha Nabii Musa (A.S) aliyekimbilia Madiyan baada ya kukabiliwa na tuhuma ya kupiga mtu hadi kufa katika utawala wa Firauni.

Lakini wakati Musa akiwa Madiyan, Ustaadh Bungo alisema Mwenyezi Mungu alimwambia Musa (A.S) aende kwa Furauni "akamlinganie" aache kiburi chake cha kujidai yeye Mungu, kufanya dhuluma, mauaji ya raia na ukandamizaji uliokithiri.

Alisema, Musa (A.S), ambaye awali aliukimbia utawala wa Firauni kwa hofu ya tuhuma zilizokuwa zikimkabili, alilazimika kuishinda nafsi yake iliyokuwa ikimuhofu Firauni ambaye alikuwa ni kiumbe na mwanadamu kama yeye Musa (A.S).

"Musa (A.S) akaacha mara moja kumhofu Firauni na badala yake akazidisha kumhofu Allah (S.W) (hivyo) akaamua kwenda kumkabili Firauni licha ya maguvu yake ya dola na wapambe wake wachawi na washirikina", alifafanua Ustaadh Bungo.

Alisema Musa (A.S) aifanikiwa kumshinda Firauni na kuwakomboa wananchi waliokuwa wakiteseka chini ya utawala huo wa kidhalimu wa Firauni.

Aidha, kuhusu kundi la waislamu wazembe, Ustaadh Bungo aliwakumbusha Waislamu mazingira ya enzi ya Mtume (S.A.W) ambapo alisema katika vita zote zilizopiganwa wakati huo na ambazo zilijulikana kama "Ghazua", waumini baada ya kujua kuwa walikuwa wakipigana kwa amri ya Mola wao na haki ya dini yao, hawakuwa wakizembea kwa kujenga visingizio vya kusubiri amri ya Mtume (S.A.W), bali kila walipoona dhuluma, vita au shari ikielekezwa kwao walipamabna nayo.

"Ama kwa wale vibaraka", alisema Ustaadh Bungo, "hawa ni wa kupigwa vita sambamba na madhalimu wanaowaweka mbele na kuwapa majukwaa ya kuwatusi Waislamu".
'Hajj Trust' yaongeza huduma kwa mahujaji

* Usafiri wa Jeddah-Madina sasa kwa ndege

Na Mwandishi Wetu

Mahujaji wa Tanzania watakaokwenda Hija kuanzia mwaka huu watapatiwa usafiri wa ndege kutoka Jeddah kwenda Madina ili kukwepa uchovu wa safari ndefu ya masaa nane kati ya miji hiyo miwili ambao wangeupata endapo wangetumia usafiri wa basi.

Hayo yalisemwa na Katibu Mkuu wa Taasisi ya Kiislamu inayoshughulikia masuala ya Hija hapa nchini, Tanzania Muslim Hajj Trust, Abdallah M.Jabir, alipokuwa akizungumza na NASAHA kuhusu maandalizi ya Hija ya mwaka huu.

Jabiri amesema kuwa nyongeza hiyo ya huduma ya usafiri wa ndege kwa kutumia ndege ya Shirika la Ndege la Saudi Arabia, Saudi Airlines, haitaathiri huduma nyingine zitolewazo na taasisi yake wala ongezeko la gharama kutoka kwa Mahujaji. Gharama za Hija kwa mwaka huu kama ilivyotangazwa na taasisi yake ni dola za Kimarekani 1600, ikiwa ni ongezeko la dola 100 zaidi kutokana na kupanda kwa gharama za huduma za ndani za serikali nchini Saudi Arabia.

Alizitaja huduma nyingine kwa uchache wazitoazo kwa Mahujaji kuwa ni pamoja na chakula kwa siku zote wawapo katika miji ya Maka, Madina na Mina na huduma ya matabibu wa kiume na wa [censored] wakati wa Hija. Huduma nyingine ni za waongozaji Mahujaji katika miji hiyo mitatu na ziara za maeneo matakatifu ya kihistoria zilizopo Madina.

Aidha alisema matayarisho ya Ibada ya Hija ya mwaka huu yalishaanza toka miezi sita iliyopita ambapo mpaka sasa Waislamu zaidi ya 200 tayari wamejiorodhesha, lengo likiwa ni kusafirisha Mahujaji kati ya 350 na 400.

Akijibu swali la mwandishi kwanini wasitumie ndege za Shirika la Ndege la Yemen ambazo inasamekana bei zake ni nafuu sana, Jabir alisema Hajj Trust hutumia ndege za kukodi za shirika la ndege Tanzania (ATC) ambazo pamoja na kuwa huenda moja kwa moja Jeddah, lakini pia wanajihisi ufahari kama wazalendo kushuka katika uwanja wa ndege wa kigeni wakiwa na ndege yenye alama ya Taifa wanalotoka.

"Sisi ni wazalendo wa Taifa hili, tunasikia ufahari pesa za Watanzania zinapobaki katika mikono ya Watanzania wenyewe badala ya kuzipeleka kwa watu wa nje... Lakini pia ni ufahani kushuka Jeddah tukiwa kwenye ndege yenye nembo ya Taifa letu", alisema Katibu Mkuu hayo wa Hajj Trust.

Hata hivyo, alidai kuwa tofauti kati ya nauli inayotozwa na ndege ya shirika hilo la Yemen na ile inayotozwa katika ndege za ATC ni dola 15 tu, huku safari za ATC zikiwa ni za moja kwa moja na hivyo kupunguza usumbufu kwa Mahujaji kwa kupanda na kushuka wabadilishapo ndege wakiwa njiani.

"Safari hizi za ndege ya Yemen sio kitu kipya, zimeanza toka toka Novemba 1999. Hata sisi huko nyuma tuliwahi kutumia ndege zao kusafirishia waumini waliokwenda (kufanya Ibada ya) Umra, " alisema Jabir.

Ratiba ya safari za Hija kama ilivyooneshwa kwa mwandishi ni kuwa ndege zitaondoka Dar es Salaam kwenda Jeddah Februari 17, 18, 19 na 23, na zile za kurudi zitaanzia Machi 11, mwaka huu.

Mbumbumbu wa demokrasia waliomo katika chama tawala ni hatari zaidi

* Wadai pia demokrasia mbumbumbu

Na Mwandishi Wetu

IMEELEZWA kuwa makuzi hafifu ya demokrasia nchini ya mechangiwa na kuwepo ndani ya chama tawala kwa wananchi ambao ni mbumbumbu wa demokrasia kwa vile bado wanaamini mfumo wa chama kimoja.

Aidha imefafanuliwa kwamba umbumbumbu huo umewagubika hata baadhi ya watendaji katika chama hicho ambao pia hukutana na wananchi kama watendaji serikalini.

Hayo yameelezwa na wananchi waliozungumza na gazeti hili kufuatia kauli ya Rais Benjamin Mkapa aliyedai kwamba wapo mbumbumbu wa demokrasia.

Wakiyafafanua maelezo yao hayo, wananchi hao wamesema, kwa mfano, Mwenyekiti wa chama tawala anapotumia kofia yake ya Urais kushinikiza nguvu za dola kuzuia mikutano ya vyama vingine (pinzani) vya siasa husaidia kuwapotosha zaidi wale mbumbumbu wa demokrasia wanaodhani kuwa bado tupo kwenye mfumo wa chama kimoja.

Wamesema pia kwamba kuwepo kwa "demokrasia mbumbumbu" kumechangiwa kwa kiasi kikubwa na wale wanaodhani kuwa kununua kura, kuwahonga wapiga kura, kuiba kura, kutumia vitisho na hata nguvu za dola kupora kura na kukandamiza upinzani ni sehemu ya demokrasia.

Pia wameeleza kwamba wapo miongoni mwa mambumbumbu hao wa demokrasia walijiumbua wakati wa kampeni pale walipopanda kwenye majukwaa "wasijue cha kuzungumza ila kuanza kutumia maneno machafu dhidi ya wake za baadhi ya wagombea ambao hotuba zao zilijaa hoja nzito ambazo mambumbu walishindwa kuzijibu."

"Mambumbumbu wengi pia wamo ndani ya chama tawala. Hawa demokrasia yao ni 'demokrasia mbumbumbu' pia. Kwao mwananchi akijiunga na chama cha upinzani hustahili hata kunyimwa haki zake za msingi za kibinadamu na zile za kiraia. Baadhi ( ya mambumbumbu hao) hudhani kuwa ni halali hata kutumia nguvu za dola kumbughudhi na hata kumtesa mtu na familia yake kwa kumnyima ajira na njia yoyote ya kujitafutia riziki kuwa japo kwa biashara ya genge la nyanya. Ndio maana imekuwa kawaida ya wengi kuwaalika baadhi ya viongozi wa chama tawala kuwasimikia 'vijiwe' na bendera za mashina ili wapate uhalali wa kufungua magenge ya kujipatia riziki", alieleza Mwalimu Shaaban Hadidu.

Mwalimu Hadidu aliongeza kwamba baadhi ya mambumbumbu hao huwa hawaoni haya wala vibaya kuwaambia wananchi tundika bendera usalimike.

Wakizidi kuchambua kina cha umbumbumbu uliopo wananchi hao wamedai wapo pia mambumbumbu waliona sawa tu kutukana dini za baadhi ya wananchi kuwa ni wenye kuhongwa tena ndani ya majumba yao ya Ibada, na wengine wakadiriki hata kuwakodi watu waliojiita "masheikh" ili wapande majukwaa kukashifa dini za watu wanaoonekana kutokipenda chama cha mambumbumbu hao.

Wananchi hai pia walielezea kuwepo kwa umbumbumbu demokrasia upande wa upinzani pia. Wamesema mambumbumbu katika upande huo hudhani demokrasia maana yake kujipendekeza chama tawala ili "wasalimike, " na Msajili wa Vyama asije akataka kuhakiki vyama vyao kama bado vina wanachama, vinafanya mkutano wake kwa mujibu wa katiba na vinafanya uchaguzi wa kidemokrasia wa viongozi wake tangu viundwe miaka 8 iliyopita. "Miongoni mwao hawa wapo pia viongozi wa vyama ambao hawaishi kujipendekeza kwao huko, hufikia hata baadhi yao kutumiwa kama mapandikizi dhidi ya kambi ya upinzani, wanahribu vyama vyetu na sasa wanatufanya wote tuonekane hatuna maana" alilalamika Bw. Furaha Msonga.

Aidha, wananchi hao wamesema lipo pia swala la umoja wa kitaifa ambapo wametahadharisha .vyama vingi visiwe sababu ya kuvunja utaifa.

Hata hivyo wameongeza kutoa tahadhari kwamba watanzania waasitegemee kujenga utaifa huo huku baadhi ya viongozi kwenye chama tawala hawaishi kuwakashifu na kuwakejeli baadhi ya viongozi na wananchama wa vyama vya upinzani.

Wakitolea mfano wa jinsi viongozi wa chama tawla wanavyoweza kufanya kazi na wale wa upinzani kwa msalahi ya taifa, wananchi hao wamemtaja Mzee Nelson Mandela wa Afrika ya Kusini ambapo wamesema watu wa chama tawala wangejifunza toka Afrika Kusini au hata Marekani.

"Mandela alikuwa akifanyakazi na viongozi wa upinzani, na (George) Bush (wa Marekani) pia kaonesha hilo", alieleza mwanchi mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja tu la Mgana.­.

Waislamu watakiwa kuwa watekelezaji wa maamuzi

* Watakiwa kwatambua wale wanaokwamisha utekelezaji ambao ni vibaraka, waoga na wazembe

Na Mwandishi Wetu

WAISLAMU nchini wametakiwa kuyatekeleza yale yaliyoamuliwa na Mwenyezi Mungu (S.W.) na yakafundishwa kwao na Mtume wake (S.A.W.) kama moja ya ahadi juu yao.

Aidha wametakiwa vilevile kutekeleza na yale ambayo wao huyaamua kwa misingi ya dini yao na kisha wakaaomba dua kwa Mweneyzi Mungu (S.W.) awawafikishie.

Akitoa wito huo, Mhadhiri wa kiislamu jijini Dar es Salaam, Ustaadh Kondo Bungo amewaambia Waislamu kwamba maamrisho ya Mwenyezi Mungu (S.W.), mafundisho ya Mtume (S.A.W) na maamuzi wanayoyachukua Waislamu hao na kisha wakayaombea dua kwa Mwenyezi Mungu (S.W) awawafikishie yote hayo ni miongoni mwa ahadi mbele ya Mwenyezi Mungu (S.W.) ambazo wanayo dhima ya kuzitekeleza.

Ustaadhi Bungo alikuwa akiongea na Waislamu katika Msikiti wa Taqwa, uliopo Mwananyamala, Dar es Salaam, baada ya Swala ya I'sha, Jumapili, Januari 7 mwaka huu.

Akiufafanua msimamo wake huo juu ya suala hilo, Ustaadh Bungo alisema licha ya Waislamu wengi kuwa wanalijua jambo hilo bado kuna tatizo la utekelezaji wa ahadi hizo wanazozichukua na kisha aliwauliza Waislamu: "...nini kiini cha tatizo hili?".

Akifafanua kuhusu kiini cha tatizo hilo la kutotekelezwa ahadi hizo, Ustaadh Bungo alisema kwamba ahadi nyingi zinakwamishwa na watu wa aina tatu miongoni mwa umma wa Waislamu ambao aliwataja kuwa ni vibaraka, waoga na wazembe.

Akiwazungumzia vibaraka alisema: "mtu kibaraka ni (yule) ambaye mko naye msikitini na anapiga takbira kwa wingi lakini kesho utamkuta anajipendekeza kwa kiongozi anayewatukana Waislamu... na yeye ndio wa kwanza kupanga mstari kutoa mkono kwa kiongozi huyo (kama dalili ya salamu ya heshima)"

Ustaadhi Bungo aliendeleza uchambuzi wake ambapo alisema ikitokea Muislamu huyo kibaraka kuwa ni Imam au kiongozi wa Taasasi ya Kiislamu, basi yeye ndio huwa wa kwanza anapokuwa na hafla kuwaalika viongozi wenye kauli chafu dhidi ya Waislamu kuwa wageni rasmi.

Alilitaja kundi la pili kuwa ni Waislamu waoga ambao alisema hao nao ni tatizo. Alisema Waislamu walio katika kundi hilo, kutokana na woga wao, husahau kumhofu Mwenyezi Mungu (S.W.) na badala yake wakawahofu wanandamu wenzo kutokana na madaraka walionayo na vitisho vyao.

Ustaadhi Bungo aliwatamnabaisha Waislamu kwamba ikitokea mtu huyo mwoga kuwa Imam, sheikh au amir, basi anapotoa hotuba zake huwa anayumbayumba katika mada.

"Siku zote huwa hawasemi kweli watu hawa na wala hawafundishi yanayostahiki kuwa haki... kwa mfano badala ya kufundisha kuindoa dhuluma wao hufundisha kuikwepa", alieleza Ustaadh Bungo.

Akifafanua hoja yake hiyo alisema ikitokea 'grosari' imejengwa mbele ya msikiti, basi imamu au sheikh huyo mwoga hubadili njia badala ya kuwataka waumini "wakaiondoe grosari hiyo", na kisha akauliza: "je katika njia hiyo nyingine pakijengwa baa imam huyo na waumini watapita wapi?"

Akilitaja kundi la tatu Ustaadh Bungo alisema watu wake ni wazembe na akadai kwamba hao ni hatari zaidi.

Alisema wakati wale waoga hutoa visingizio vya "eti wanatumia hekima", waumini wazembe hudai "eti wanasubiri amiri wao aseme!"

Ustaadh Bungo ameeleza kuwa katika Uislamu, suala la kupambana na maovu kwa misingi ya dini hiyo ni amri, na kwamba amri yoyote ni ibada.

Akitolea mfano alisema: "Kuswali ni ibada na pindi wakti (wakati) unapotimu waumini huinuka wakaswali pasi na kumsubiri amir", na kisha akahoji, "sasa iweje suala la kuondoa maovu wasubiri kauli ya amir?"

Amesema, muda wa swala ukifika, waumini, wakiwemo wazembe hao, huinuka kwenda kuswali na wala hawasikiki wakitoa visingizio vyao vya kumsubiri amir, na aashangaa iweje katikia ibada zingine waumini wadai kumsubiri amir.

Ustaadh Bungo aliwataka waumini kuwatambua watu hao watatu wanaokwamisha utekelezaji wa ahadi wanazozichukua Waislamu ili wapate kuwaelimisha na pale inaposhindikana kuelimishwa basi wawaepuke kwa vile alisema watu hao ni kikwazo katika maendeleo ya jamii ya Waislamu.

Aizungumzia umuhimu wa kuwaelimisha, ustaadh huyo aliwakumbusha waumini msiktini hapo kisa cha Nabii Musa (A.S) aliyekimbilia Madiyan baada ya kukabiliwa na tuhuma ya kupiga mtu hadi kufa katika utawala wa Firauni.

Lakini wakati Musa akiwa Madiyan, Ustaadh Bungo alisema Mwenyezi Mungu alimwambia Musa (A.S) aende kwa Furauni "akamlinganie" aache kiburi chake cha kujidai yeye Mungu, kufanya dhuluma, mauaji ya raia na ukandamizaji uliokithiri.

Alisema, Musa (A.S), ambaye awali aliukimbia utawala wa Firauni kwa hofu ya tuhuma zilizokuwa zikimkabili, alilazimika kuishinda nafsi yake iliyokuwa ikimuhofu Firauni ambaye alikuwa ni kiumbe na mwanadamu kama yeye Musa (A.S).

"Musa (A.S) akaacha mara moja kumhofu Firauni na badala yake akazidisha kumhofu Allah (S.W) (hivyo) akaamua kwenda kumkabili Firauni licha ya maguvu yake ya dola na wapambe wake wachawi na washirikina", alifafanua Ustaadh Bungo.

Alisema Musa (A.S) aifanikiwa kumshinda Firauni na kuwakomboa wananchi waliokuwa wakiteseka chini ya utawala huo wa kidhalimu wa Firauni.

Aidha, kuhusu kundi la waislamu wazembe, Ustaadh Bungo aliwakumbusha Waislamu mazingira ya enzi ya Mtume (S.A.W) ambapo alisema katika vita zote zilizopiganwa wakati huo na ambazo zilijulikana kama "Ghazua", waumini baada ya kujua kuwa walikuwa wakipigana kwa amri ya Mola wao na haki ya dini yao, hawakuwa wakizembea kwa kujenga visingizio vya kusubiri amri ya Mtume (S.A.W), bali kila walipoona dhuluma, vita au shari ikielekezwa kwao walipamabna nayo.

"Ama kwa wale vibaraka", alisema Ustaadh Bungo, "hawa ni wa kupigwa vita sambamba na madhalimu wanaowaweka mbele na kuwapa majukwaa ya kuwatusi Waislamu".
'Hajj Trust' yaongeza huduma kwa mahujaji

* Usafiri wa Jeddah-Madina sasa kwa ndege

Na Mwandishi Wetu

Mahujaji wa Tanzania watakaokwenda Hija kuanzia mwaka huu watapatiwa usafiri wa ndege kutoka Jeddah kwenda Madina ili kukwepa uchovu wa safari ndefu ya masaa nane kati ya miji hiyo miwili ambao wangeupata endapo wangetumia usafiri wa basi.

Hayo yalisemwa na Katibu Mkuu wa Taasisi ya Kiislamu inayoshughulikia masuala ya Hija hapa nchini, Tanzania Muslim Hajj Trust, Abdallah M.Jabir, alipokuwa akizungumza na NASAHA kuhusu maandalizi ya Hija ya mwaka huu.

Jabiri amesema kuwa nyongeza hiyo ya huduma ya usafiri wa ndege kwa kutumia ndege ya Shirika la Ndege la Saudi Arabia, Saudi Airlines, haitaathiri huduma nyingine zitolewazo na taasisi yake wala ongezeko la gharama kutoka kwa Mahujaji. Gharama za Hija kwa mwaka huu kama ilivyotangazwa na taasisi yake ni dola za Kimarekani 1600, ikiwa ni ongezeko la dola 100 zaidi kutokana na kupanda kwa gharama za huduma za ndani za serikali nchini Saudi Arabia.

Alizitaja huduma nyingine kwa uchache wazitoazo kwa Mahujaji kuwa ni pamoja na chakula kwa siku zote wawapo katika miji ya Maka, Madina na Mina na huduma ya matabibu wa kiume na wa [censored] wakati wa Hija. Huduma nyingine ni za waongozaji Mahujaji katika miji hiyo mitatu na ziara za maeneo matakatifu ya kihistoria zilizopo Madina.

Aidha alisema matayarisho ya Ibada ya Hija ya mwaka huu yalishaanza toka miezi sita iliyopita ambapo mpaka sasa Waislamu zaidi ya 200 tayari wamejiorodhesha, lengo likiwa ni kusafirisha Mahujaji kati ya 350 na 400.

Akijibu swali la mwandishi kwanini wasitumie ndege za Shirika la Ndege la Yemen ambazo inasamekana bei zake ni nafuu sana, Jabir alisema Hajj Trust hutumia ndege za kukodi za shirika la ndege Tanzania (ATC) ambazo pamoja na kuwa huenda moja kwa moja Jeddah, lakini pia wanajihisi ufahari kama wazalendo kushuka katika uwanja wa ndege wa kigeni wakiwa na ndege yenye alama ya Taifa wanalotoka.

"Sisi ni wazalendo wa Taifa hili, tunasikia ufahari pesa za Watanzania zinapobaki katika mikono ya Watanzania wenyewe badala ya kuzipeleka kwa watu wa nje... Lakini pia ni ufahani kushuka Jeddah tukiwa kwenye ndege yenye nembo ya Taifa letu", alisema Katibu Mkuu hayo wa Hajj Trust.

Hata hivyo, alidai kuwa tofauti kati ya nauli inayotozwa na ndege ya shirika hilo la Yemen na ile inayotozwa katika ndege za ATC ni dola 15 tu, huku safari za ATC zikiwa ni za moja kwa moja na hivyo kupunguza usumbufu kwa Mahujaji kwa kupanda na kushuka wabadilishapo ndege wakiwa njiani.

"Safari hizi za ndege ya Yemen sio kitu kipya, zimeanza toka toka Novemba 1999. Hata sisi huko nyuma tuliwahi kutumia ndege zao kusafirishia waumini waliokwenda (kufanya Ibada ya) Umra, " alisema Jabir.

Ratiba ya safari za Hija kama ilivyooneshwa kwa mwandishi ni kuwa ndege zitaondoka Dar es Salaam kwenda Jeddah Februari 17, 18, 19 na 23, na zile za kurudi zitaanzia Machi 11, mwaka huu.

Mbumbumbu wa demokrasia waliomo katika chama tawala ni hatari zaidi

* Wadai pia demokrasia mbumbumbu

Na Mwandishi Wetu

IMEELEZWA kuwa makuzi hafifu ya demokrasia nchini ya mechangiwa na kuwepo ndani ya chama tawala kwa wananchi ambao ni mbumbumbu wa demokrasia kwa vile bado wanaamini mfumo wa chama kimoja.

Aidha imefafanuliwa kwamba umbumbumbu huo umewagubika hata baadhi ya watendaji katika chama hicho ambao pia hukutana na wananchi kama watendaji serikalini.

Hayo yameelezwa na wananchi waliozungumza na gazeti hili kufuatia kauli ya Rais Benjamin Mkapa aliyedai kwamba wapo mbumbumbu wa demokrasia.

Wakiyafafanua maelezo yao hayo, wananchi hao wamesema, kwa mfano, Mwenyekiti wa chama tawala anapotumia kofia yake ya Urais kushinikiza nguvu za dola kuzuia mikutano ya vyama vingine (pinzani) vya siasa husaidia kuwapotosha zaidi wale mbumbumbu wa demokrasia wanaodhani kuwa bado tupo kwenye mfumo wa chama kimoja.

Wamesema pia kwamba kuwepo kwa "demokrasia mbumbumbu" kumechangiwa kwa kiasi kikubwa na wale wanaodhani kuwa kununua kura, kuwahonga wapiga kura, kuiba kura, kutumia vitisho na hata nguvu za dola kupora kura na kukandamiza upinzani ni sehemu ya demokrasia.

Pia wameeleza kwamba wapo miongoni mwa mambumbumbu hao wa demokrasia walijiumbua wakati wa kampeni pale walipopanda kwenye majukwaa "wasijue cha kuzungumza ila kuanza kutumia maneno machafu dhidi ya wake za baadhi ya wagombea ambao hotuba zao zilijaa hoja nzito ambazo mambumbu walishindwa kuzijibu."

"Mambumbumbu wengi pia wamo ndani ya chama tawala. Hawa demokrasia yao ni 'demokrasia mbumbumbu' pia. Kwao mwananchi akijiunga na chama cha upinzani hustahili hata kunyimwa haki zake za msingi za kibinadamu na zile za kiraia. Baadhi ( ya mambumbumbu hao) hudhani kuwa ni halali hata kutumia nguvu za dola kumbughudhi na hata kumtesa mtu na familia yake kwa kumnyima ajira na njia yoyote ya kujitafutia riziki kuwa japo kwa biashara ya genge la nyanya. Ndio maana imekuwa kawaida ya wengi kuwaalika baadhi ya viongozi wa chama tawala kuwasimikia 'vijiwe' na bendera za mashina ili wapate uhalali wa kufungua magenge ya kujipatia riziki", alieleza Mwalimu Shaaban Hadidu.

Mwalimu Hadidu aliongeza kwamba baadhi ya mambumbumbu hao huwa hawaoni haya wala vibaya kuwaambia wananchi tundika bendera usalimike.

Wakizidi kuchambua kina cha umbumbumbu uliopo wananchi hao wamedai wapo pia mambumbumbu waliona sawa tu kutukana dini za baadhi ya wananchi kuwa ni wenye kuhongwa tena ndani ya majumba yao ya Ibada, na wengine wakadiriki hata kuwakodi watu waliojiita "masheikh" ili wapande majukwaa kukashifa dini za watu wanaoonekana kutokipenda chama cha mambumbumbu hao.

Wananchi hai pia walielezea kuwepo kwa umbumbumbu demokrasia upande wa upinzani pia. Wamesema mambumbumbu katika upande huo hudhani demokrasia maana yake kujipendekeza chama tawala ili "wasalimike, " na Msajili wa Vyama asije akataka kuhakiki vyama vyao kama bado vina wanachama, vinafanya mkutano wake kwa mujibu wa katiba na vinafanya uchaguzi wa kidemokrasia wa viongozi wake tangu viundwe miaka 8 iliyopita. "Miongoni mwao hawa wapo pia viongozi wa vyama ambao hawaishi kujipendekeza kwao huko, hufikia hata baadhi yao kutumiwa kama mapandikizi dhidi ya kambi ya upinzani, wanahribu vyama vyetu na sasa wanatufanya wote tuonekane hatuna maana" alilalamika Bw. Furaha Msonga.

Aidha, wananchi hao wamesema lipo pia swala la umoja wa kitaifa ambapo wametahadharisha .vyama vingi visiwe sababu ya kuvunja utaifa.

Hata hivyo wameongeza kutoa tahadhari kwamba watanzania waasitegemee kujenga utaifa huo huku baadhi ya viongozi kwenye chama tawala hawaishi kuwakashifu na kuwakejeli baadhi ya viongozi na wananchama wa vyama vya upinzani.

Wakitolea mfano wa jinsi viongozi wa chama tawla wanavyoweza kufanya kazi na wale wa upinzani kwa msalahi ya taifa, wananchi hao wamemtaja Mzee Nelson Mandela wa Afrika ya Kusini ambapo wamesema watu wa chama tawala wangejifunza toka Afrika Kusini au hata Marekani.

"Mandela alikuwa akifanyakazi na viongozi wa upinzani, na (George) Bush (wa Marekani) pia kaonesha hilo", alieleza mwanchi mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja tu la Mgana.­.

Waislamu watakiwa kuwa watekelezaji wa maamuzi

* Watakiwa kwatambua wale wanaokwamisha utekelezaji ambao ni vibaraka, waoga na wazembe

Na Mwandishi Wetu

WAISLAMU nchini wametakiwa kuyatekeleza yale yaliyoamuliwa na Mwenyezi Mungu (S.W.) na yakafundishwa kwao na Mtume wake (S.A.W.) kama moja ya ahadi juu yao.

Aidha wametakiwa vilevile kutekeleza na yale ambayo wao huyaamua kwa misingi ya dini yao na kisha wakaaomba dua kwa Mweneyzi Mungu (S.W.) awawafikishie.

Akitoa wito huo, Mhadhiri wa kiislamu jijini Dar es Salaam, Ustaadh Kondo Bungo amewaambia Waislamu kwamba maamrisho ya Mwenyezi Mungu (S.W.), mafundisho ya Mtume (S.A.W) na maamuzi wanayoyachukua Waislamu hao na kisha wakayaombea dua kwa Mwenyezi Mungu (S.W) awawafikishie yote hayo ni miongoni mwa ahadi mbele ya Mwenyezi Mungu (S.W.) ambazo wanayo dhima ya kuzitekeleza.

Ustaadhi Bungo alikuwa akiongea na Waislamu katika Msikiti wa Taqwa, uliopo Mwananyamala, Dar es Salaam, baada ya Swala ya I'sha, Jumapili, Januari 7 mwaka huu.

Akiufafanua msimamo wake huo juu ya suala hilo, Ustaadh Bungo alisema licha ya Waislamu wengi kuwa wanalijua jambo hilo bado kuna tatizo la utekelezaji wa ahadi hizo wanazozichukua na kisha aliwauliza Waislamu: "...nini kiini cha tatizo hili?".

Akifafanua kuhusu kiini cha tatizo hilo la kutotekelezwa ahadi hizo, Ustaadh Bungo alisema kwamba ahadi nyingi zinakwamishwa na watu wa aina tatu miongoni mwa umma wa Waislamu ambao aliwataja kuwa ni vibaraka, waoga na wazembe.

Akiwazungumzia vibaraka alisema: "mtu kibaraka ni (yule) ambaye mko naye msikitini na anapiga takbira kwa wingi lakini kesho utamkuta anajipendekeza kwa kiongozi anayewatukana Waislamu... na yeye ndio wa kwanza kupanga mstari kutoa mkono kwa kiongozi huyo (kama dalili ya salamu ya heshima)"

Ustaadhi Bungo aliendeleza uchambuzi wake ambapo alisema ikitokea Muislamu huyo kibaraka kuwa ni Imam au kiongozi wa Taasasi ya Kiislamu, basi yeye ndio huwa wa kwanza anapokuwa na hafla kuwaalika viongozi wenye kauli chafu dhidi ya Waislamu kuwa wageni rasmi.

Alilitaja kundi la pili kuwa ni Waislamu waoga ambao alisema hao nao ni tatizo. Alisema Waislamu walio katika kundi hilo, kutokana na woga wao, husahau kumhofu Mwenyezi Mungu (S.W.) na badala yake wakawahofu wanandamu wenzo kutokana na madaraka walionayo na vitisho vyao.

Ustaadhi Bungo aliwatamnabaisha Waislamu kwamba ikitokea mtu huyo mwoga kuwa Imam, sheikh au amir, basi anapotoa hotuba zake huwa anayumbayumba katika mada.

"Siku zote huwa hawasemi kweli watu hawa na wala hawafundishi yanayostahiki kuwa haki... kwa mfano badala ya kufundisha kuindoa dhuluma wao hufundisha kuikwepa", alieleza Ustaadh Bungo.

Akifafanua hoja yake hiyo alisema ikitokea 'grosari' imejengwa mbele ya msikiti, basi imamu au sheikh huyo mwoga hubadili njia badala ya kuwataka waumini "wakaiondoe grosari hiyo", na kisha akauliza: "je katika njia hiyo nyingine pakijengwa baa imam huyo na waumini watapita wapi?"

Akilitaja kundi la tatu Ustaadh Bungo alisema watu wake ni wazembe na akadai kwamba hao ni hatari zaidi.

Alisema wakati wale waoga hutoa visingizio vya "eti wanatumia hekima", waumini wazembe hudai "eti wanasubiri amiri wao aseme!"

Ustaadh Bungo ameeleza kuwa katika Uislamu, suala la kupambana na maovu kwa misingi ya dini hiyo ni amri, na kwamba amri yoyote ni ibada.

Akitolea mfano alisema: "Kuswali ni ibada na pindi wakti (wakati) unapotimu waumini huinuka wakaswali pasi na kumsubiri amir", na kisha akahoji, "sasa iweje suala la kuondoa maovu wasubiri kauli ya amir?"

Amesema, muda wa swala ukifika, waumini, wakiwemo wazembe hao, huinuka kwenda kuswali na wala hawasikiki wakitoa visingizio vyao vya kumsubiri amir, na aashangaa iweje katikia ibada zingine waumini wadai kumsubiri amir.

Ustaadh Bungo aliwataka waumini kuwatambua watu hao watatu wanaokwamisha utekelezaji wa ahadi wanazozichukua Waislamu ili wapate kuwaelimisha na pale inaposhindikana kuelimishwa basi wawaepuke kwa vile alisema watu hao ni kikwazo katika maendeleo ya jamii ya Waislamu.

Aizungumzia umuhimu wa kuwaelimisha, ustaadh huyo aliwakumbusha waumini msiktini hapo kisa cha Nabii Musa (A.S) aliyekimbilia Madiyan baada ya kukabiliwa na tuhuma ya kupiga mtu hadi kufa katika utawala wa Firauni.

Lakini wakati Musa akiwa Madiyan, Ustaadh Bungo alisema Mwenyezi Mungu alimwambia Musa (A.S) aende kwa Furauni "akamlinganie" aache kiburi chake cha kujidai yeye Mungu, kufanya dhuluma, mauaji ya raia na ukandamizaji uliokithiri.

Alisema, Musa (A.S), ambaye awali aliukimbia utawala wa Firauni kwa hofu ya tuhuma zilizokuwa zikimkabili, alilazimika kuishinda nafsi yake iliyokuwa ikimuhofu Firauni ambaye alikuwa ni kiumbe na mwanadamu kama yeye Musa (A.S).

"Musa (A.S) akaacha mara moja kumhofu Firauni na badala yake akazidisha kumhofu Allah (S.W) (hivyo) akaamua kwenda kumkabili Firauni licha ya maguvu yake ya dola na wapambe wake wachawi na washirikina", alifafanua Ustaadh Bungo.

Alisema Musa (A.S) aifani

Mbumbumbu wa demokrasia waliomo katika chama tawala ni hatari zaidi

* Wadai pia demokrasia mbumbumbu

Na Mwandishi Wetu

IMEELEZWA kuwa makuzi hafifu ya demokrasia nchini ya mechangiwa na k

M
M
Mister Man
, US
Jul 23, 2010 12:33 am EDT
Verified customer This comment was posted by a verified customer. Learn more

This all boils down to one word- jealousy.

Most of this is spurred by one woman, Jerri Pope, known as Purseservere @ Bonanzl- she can't get along. She was removed from these forums when she couldn't play well with others and now she's vindictive. She lies about her location, the condition of her bags, her "Italian" leather worker, Tony, on and on. She was confronted about this stuff and other unethical practices on TPF and EBay. ALL these pages are her response. This is how big her jealousy gets.

There are other people who write some of this sometimes but she was and is the driving force. and it's pointless to talk with her. she can't have conversations. Read through these pages and it's pretty clear. She'll end up booted off of effenhaute next.

So in the end we say move on, nothing to see here...
This all boils down to one word- jealousy.

Most of this is spurred by one woman, Jerri Pope, known as Purseservere @ Bonanzl- she can't get along. She was removed from these forums when she couldn't play well with others and now she's vindictive. She lies about her location, the condition of her bags, her "Italian" leather worker, Tony, on and on. She was confronted about this stuff and other unethical practices on TPF and EBay. ALL these pages are her response. This is how big her jealousy gets.

There are other people who write some of this sometimes but she was and is the driving force. and it's pointless to talk with her. she can't have conversations. Read through these pages and it's pretty clear. She'll end up booted off of effenhaute next.

So in the end we say move on, nothing to see here...

This all boils down to one word- jealousy.

Most of this is spurred by one woman, Jerri Pope, known as Purseservere @ Bonanzl- she can't get along. She was removed from these forums when she couldn't play well with others and now she's vindictive. She lies about her location, the condition of her bags, her "Italian" leather worker, Tony, on and on. She was confronted about this stuff and other unethical practices on TPF and EBay. ALL these pages are her response. This is how big her jealousy gets.

There are other people who write some of this sometimes but she was and is the driving force. and it's pointless to talk with her. she can't have conversations. Read through these pages and it's pretty clear. She'll end up booted off of effenhaute next.

So in the end we say move on, nothing to see here...

This all boils down to one word- jealousy.

Most of this is spurred by one woman, Jerri Pope, known as Purseservere @ Bonanzl- she can't get along. She was removed from these forums when she couldn't play well with others and now she's vindictive. She lies about her location, the condition of her bags, her "Italian" leather worker, Tony, on and on. She was confronted about this stuff and other unethical practices on TPF and EBay. ALL these pages are her response. This is how big her jealousy gets.

There are other people who write some of this sometimes but she was and is the driving force. and it's pointless to talk with her. she can't have conversations. Read through these pages and it's pretty clear. She'll end up booted off of effenhaute next.

So in the end we say move on, nothing to see here...

This all boils down to one word- jealousy.

Most of this is spurred by one woman, Jerri Pope, known as Purseservere @ Bonanzl- she can't get along. She was removed from these forums when she couldn't play well with others and now she's vindictive. She lies about her location, the condition of her bags, her "Italian" leather worker, Tony, on and on. She was confronted about this stuff and other unethical practices on TPF and EBay. ALL these pages are her response. This is how big her jealousy gets.

There are other people who write some of this sometimes but she was and is the driving force. and it's pointless to talk with her. she can't have conversations. Read through these pages and it's pretty clear. She'll end up booted off of effenhaute next.

So in the end we say move on, nothing to see here...

This all boils down to one word- jealousy.

Most of this is spurred by one woman, Jerri Pope, known as Purseservere @ Bonanzl- she can't get along. She was removed from these forums when she couldn't play well with others and now she's vindictive. She lies about her location, the condition of her bags, her "Italian" leather worker, Tony, on and on. She was confronted about this stuff and other unethical practices on TPF and EBay. ALL these pages are her response. This is how big her jealousy gets.

There are other people who write some of this sometimes but she was and is the driving force. and it's pointless to talk with her. she can't have conversations. Read through these pages and it's pretty clear. She'll end up booted off of effenhaute next.

So in the end we say move on, nothing to see here...

This all boils down to one word- jealousy.

Most of this is spurred by one woman, Jerri Pope, known as Purseservere @ Bonanzl- she can't get along. She was removed from these forums when she couldn't play well with others and now she's vindictive. She lies about her location, the condition of her bags, her "Italian" leather worker, Tony, on and on. She was confronted about this stuff and other unethical practices on TPF and EBay. ALL these pages are her response. This is how big her jealousy gets.

There are other people who write some of this sometimes but she was and is the driving force. and it's pointless to talk with her. she can't have conversations. Read through these pages and it's pretty clear. She'll end up booted off of effenhaute next.

So in the end we say move on, nothing to see here...

J
J
JustMyOpinion
, US
Jun 16, 2010 1:37 pm EDT

For anyone who no longer wishes to associate w/ TPF, there is a new forum started by some former PFers

www.effenhaute.com

N
N
Notgoing4it
Mese, US
May 20, 2010 12:31 pm EDT
Verified customer This comment was posted by a verified customer. Learn more

hat a bunch of copy cat [censor]s. They steal others IDs and put words in their mouths. It just proves what they are about. [censor] LIARS AND THIEVES SCAMMING THE PUBLIC.

S
S
stran41
10002, US
May 20, 2010 11:21 am EDT

^ Keep it up, all TPF members on ebay should be NARU'd. They need to stop selling fakes on ebay. It's the GOOD sellers that kept getting knocked down by those stupid, lowlife [censor]es. All they ever do is sit in their fat [censor] and report, report, report those sellers all day. NO LIFE. no wonder their boyfriends/girlfriends/husbands/lesbian/gay lovers don't give a [censor]ing [censor] about them anymore. I mean just look at the Family and relationships thread, NO WONDER!

N
N
Notgoing4it
Mese, US
May 05, 2010 5:07 pm EDT
Verified customer This comment was posted by a verified customer. Learn more

what a pity...looks like long time members of the ebay purse board are getting NARU

I'm*back*in*the*saddle*again - NO LONGER A REGISTERED USER

My, my, wonder who's next?

P
P
ponie
Black Forest, US
Mar 30, 2010 7:26 pm EDT

I parked in the tow-away zone, and when I got back, the entire neighborhood was gone.

wegolookfan
wegolookfan
OKC, US
Mar 30, 2010 7:14 pm EDT
Verified customer This comment was posted by a verified customer. Learn more

I think wegolook can help everyone on here-

F
F
f-lyincoach
Indianapolis, US
Mar 30, 2010 3:47 pm EDT

Wheeee! Hey look at me, I'm FLYINCOACH! I talk to myself and drool and dribble and if I scream and yell enough evryone will THINK I'M NUTZ AND FEAR ME! BOW DOWN TO THE GODDESS OF FEAR AND LOATHING, YOU DISGUSTING PURSE-WAVING PEASANT ###! I strike TERROR into the hearts of rational people EVERYWHERE because THEY FEAR ME, AND IF THEY DON'T I'LL GO AND TELL TEACHER ON THEM!

AND THERE ARE A LOT MORE OF ME THAN THERE ARE OF THEM!

NEEENER NEENER NEENER!

"One Roach to rule them all.
One Roach to find them.
One Roach to bring them all
And in the Darkness bind them".

G
G
guess_who_I*am
, US
Mar 30, 2010 11:03 am EDT

flyin you gotta call me write now. they are taking over this board and I am scared.

F
F
FLYINCOACH3
, US
Mar 30, 2010 10:53 am EDT

and I KNOW people in high places so dont think you will get away with it. lol lol lol lol lol lol. oh lol. woe woe woe to you.

F
F
FLYINCOACH3
, US
Mar 30, 2010 10:52 am EDT

Who put my buying ID on here! I am real mad now. Woe to the day you messed with me. I am going to REPORT REPORT REPORT. YOU WILL NOT GET AWAY WITH THIS.

B
B
boredsufer
, US
Mar 30, 2010 10:41 am EDT

you are so inmature. I am reporting you to the proper authoritys.

G
G
guess_who_I*am
, US
Mar 30, 2010 10:32 am EDT

HEY HOLI, i KNOW you no flyin cause you r her remember? oops didnt meen to let the cat out of the bag.

G
G
guess_who_I*am
, US
Mar 30, 2010 10:25 am EDT

hey holi they are just mad and not gona take it anymore lol LOL, LOL..

X
X
xyz
Old, US
Mar 30, 2010 3:05 am EDT

I JUST CLICKED ON The flyincoach id, as I know flyin, very well and know that she has been done with this krap for a long time, now.

YOUR PROFILE INFO, SHOWS that you just signed up on March 1rst. The original flyincoach signed up a couple of monts ago and has not been on here in over a month.I tried to get her to come back on here, but she won't stoop.

BUSTED! LIAR! Use your own id . You MUST be one of the FRAUDS from the ebay purse board bunch. YOU'RE SO OBVIOUS, YOU STINK. Change your diaper, will ya?

G
G
guess_who_I*am
, US
Mar 29, 2010 10:48 pm EDT

The purse board is a joke now. thanks to us no one can post anything and I am so glad . now it is a safe and fun place for regular people not those mean nasty old "experts". who cares if ebay sufers and people buy fakes. dummies shouldnt be buying those expensive purses anyway . they should be giving that money to charity or something. they need to follow the RULES and the RULES are everything and I am glad there are no RULES here because I like to talk and make fun of other people but THEY cant do it anymore and I am just so HAPPY i could ###.

G
G
guess_who_I*am
, US
Mar 29, 2010 10:43 pm EDT

hi flyin remember me? I'm your good buddy guess who. Call me ok? Got some real good info for ya.

N
N
not yo mama
Mumbai, IN
Mar 29, 2010 12:42 am EDT

JerriPopeCrazyNutcase----->please, PLEASE share your info! There are quite a few of us who are DEFINATELY interested! You have NO idea what this loon has done. Or wait...YOU DO! She's now on the fast track program to become THE expert on ebay. She's one sick MO FO!

sites? ebay groups?

T
T
the REAL flyincoach
Spokane, US
Jan 25, 2010 3:48 pm EST

Geez Lousie...you have yet *another* thread whining about how you can't be part of this purse forum? You seriously need to let it go and move on. Unless people on that forum sold you a fake, I don't see why you have any right to complain here. It just sounds like you a very, very bitter you can't be part of their community. Suck it up.

Who are you referring to? First of all, this is not my thread. i am just a poster on this thread. Secondly, you couldn't pay me to be on either one of those rediculous forums. I made a MISTAKE of going on there to try to have friendly converstion about a common subject of designer handbags, and was attacked by the regulars there. I have since, not bothered with it and could really care less. Might want to address the party you are talking to. Must be the poster of this thread? There are 5 or 6 different threads on this complaints board from differnt posters.

T
T
the REAL flyincoach
Spokane, US
Jan 25, 2010 3:41 pm EST

wegolookfan; thank you for that information. I will check it out. I may need to use it to defend all of the false accusations I have been getting. I hope they are not too expensive. Thanks again...Jerri

wegolookfan
wegolookfan
OKC, US
Jan 21, 2010 12:29 pm EST
Verified customer This comment was posted by a verified customer. Learn more

There is some great news regarding auction item fraud- a nationwide company with over 1, 500 agents launches February First. They will go, in person, to verify an auction item for you to make sure it is legitimate and they will even take the item to UPS or Fed Ex to ship it to you! The company is called Wegolook.com and here is a general description of them:

WeGoLook is an online service that provides visual confirmation and a personalized report, completed by a real person, to verify a prodcut, person, place or thing. WeGoLook customers will be better informed, avoid costly surprises, plus benefit from unbiased confirmation without having to travel.

It might be helpful to you and others to utilize their services before getting scammed- especially high-end auction items.

T
T
the REAL flyincoach
Spokane, US
Jan 13, 2010 11:54 am EST

Check this out! This is a new 'announcement ' from the TPF. (the purse forum) pasted as follows...

January 11, 2010
TPF changes re: designer interaction
We wanted to let you all know that we have made a change in rules regarding designers, eBoutiques, and their companies interacting on tPF. As of now, we are no longer allowing designers, eBoutiques, and their companies to interact on tPF with its members. This includes the posting of announcements, sales, special orders, and private messaging.

As our forum continues to grow, we have run into troubles keeping a level playing field for all designers and eBoutiques. Hence, we considered this a necessary step.

We will soon have new options available for all designers and eBoutiques that will enable them to reconnect with our crowd.

If you need to be in contact with a designer, their rep, or eBoutique, you need to do so via official channels off tPF. Previously participating companies have been made aware of this as well.

Thanks all and hope 2010 is going great for you so far!

Hmmm...layin low, perhaps? Hiding something? Like therir fake handbag sites? Very suspicious. I have noticed alot of changes on both purse forums lately. Must be feeling the 'heat'...

T
T
the REAL flyincoach
Spokane, US
Jan 08, 2010 5:18 pm EST

By the way, I have everyone of them on my BBL and ebay said they can connect accounts to other accounts and not to worry. I suggest you do the same Guess _ Who...Later Jerri

PURSESNATCHER
PURSESNATCHER
Spokane, US
Jan 08, 2010 2:12 pm EST

my mistake: the poster is reasonable_and_informed...not informed_and_resonable. Either way, she is neither.

PURSESNATCHER
PURSESNATCHER
Spokane, US
Jan 08, 2010 2:09 pm EST

reasonable_and_informed is the posters name...not informed_and_reasonable...either way, she is neither.

PURSESNATCHER
PURSESNATCHER
Spokane, US
Jan 08, 2010 11:47 am EST

http://www.complaintsboard.com/profile-563012

Well guess_who_I_am...the ebay purse forum has lost credibility with me. The comments by informed_and_reasonable on the above thread on this site are all the proof I need to determine who the crazy ones are.

Best of luck to you with your ebay business and I would like to commend you for standing your ground. It's what makes you and other sellers like flyincoach stand apart from the rest.

T
T
the REAL flyincoach
Spokane, US
Jan 08, 2010 4:15 am EST

Pursesnatcher & Guess_who_I_am; Thanks so much for all of your kind words and for bothering to take notice of, any of the hard work that I do. Selling authentic designer handbags is not easy, as you can see. Don't let all of this turn you off. There are a lot of wonderful folks out there. i deal with them daily on my ebay site.They keep me going and just completely over ride any of this nonsence.
I must say, these ladies that like their designer bags are really picky tho! I am amazed that i have been able to make them all so happy! It really hasn't been easy. I'd like for any of these crtics to try it once. I wonder how they would like to work so hard, and to have jealous competitors trying to discredit them all the time? Until they walk a mile in my shoes, they have NO CLUE. Thank God, it hasn't hurt me a bit.
I see that I am not the only one who notices how rude and insulting they are to other sellers.As long as my buyers are happy, so am I. All the rest is 'what it is'. Again, thanks for your kind words. Glad I'm not the only one who sees what's going on here.

T
T
the REAL flyincoach
Spokane, US
Jan 08, 2010 3:23 am EST

More name calling...I am a 'frustrated, vendictive, liar' and the poster 'pursesnatcher is 'nasty' just more of the same from te purse forum folks! LOL!

I remember an old saying, something about 'sticks and stones'? COme on back and do some more classy name calling. Just proves my point and what I have been subject to on the purse forums . Must be your favorite passtime. Have at it. Gosh! I just LOVE these forums. Such nice folks...

PURSESNATCHER
PURSESNATCHER
Spokane, US
Jan 07, 2010 3:46 pm EST

divakat:
sabotage is exactly what the posters are doing to sellers like flyincoach and others who have opinions that differ from the regular posters (the ones with thousands of posts and private feedback). Some of them claim to know personal information about the sellers they are trashing. Either they are liars or stalkers. Check out this thread:

FRAUD & HARASSMENT FROM THE PURSE FORUM ON EBAY

reasonable-and-informed claims to have personal information about certain sellers. Read her posts...where I come from they call that stalking and it is illegal.

I don't post to the purse forum but I have read posts on occasion as they pertain to items I am interested in. I thought it was informative but it seems more like they are trashing sellers that aren't part of their little clique. A google search brought me here and what these women have been saying is what I have witnessed on numerous occasions.

They have zero proof that flyincoach is selling fakes, yet they have trashed her repeatedly. Why? I would buy from flyincoach...She obviously has nothing to hide, including her opinoins. I admire anyone who stands up for what they believe in even though they know it means being trashed in some forum.

Just saying...

D
D
divakat
Akron, US
Jan 07, 2010 3:10 pm EST

How is what you are doing any different? You are advertising that you are a top rated Coach seller here, yet saying everyone on the Purse Forum is a liar or scammer! How can you lump everyone into the same category? Oh, I guess that is just for those who do not agree with you or have a differing opinion right?
I am not a seller, I am a buyer and the people on the board have given valuable information to me and others. It is a risk buying anything on ebay with all the scammers and fakes out there. I have found that although they are not always "sweet and nicey, nice" they are always truthful. Sometimes the truth hurts.
Many, many times I have seen buyers and sellers come to the boards looking for validation while knowing they were in the wrong and got called out on it. As for digging into someone's selling or buying history... so what, it's there, it is public information, why would anyone care if they didn't have something to hide?
And as for the "Conspiracy Theory" of hiding behind posting IDs? It is so nasty people like yourself can't sabotage their buying IDs because they didn't agree with you. I have never seen anyone on the boards promoting their own buying IDs or advertising (like some people do). You flyincoach are just a frustrated, vindictive person who is mad because no one wanted to play your games and are now taking it out on any and everyone who you perceive as your enemy.
I don't care that your bags are real, I wouldn't buy from you if you were the last Coach seller on ebay. You have a nasty attitude and a self-rightous demeanor that turns me off. Just remember when you are pointing your finger at someone else, you have 4 others pointing back at you. Maybe instead of finding fault with others, you should examine your behavior more closely. You say you didn't care about TPF either or getting kicked off, but you sure were quick to call them names when you did. So who's the liar here? hmmmm?

PURSESNATCHER
PURSESNATCHER
Spokane, US
Jan 07, 2010 1:32 pm EST

At the risk of sounding like a conspiracy theorist...my question is: Why do the posters on the purse forum with the most posts have "posting names" and private feedback? What are they hiding? This is really disturbing to me.

flyincoach: I have looked at your current listings and your feedback. To my knowledge you can't be a top rated seller with 100% positive feedback unless you're doing something right. I would gladly buy from you with confidence. Don't let the Ebay Purse Forum groupies with their private feedback get to you. You have been above board since day one as far as I can see and they hide their seller IDs and feedback. Who do you think people will trust in the long run?

By the way...beautiful Coach purses!

T
T
the REAL flyincoach
Spokane, US
Jan 07, 2010 2:28 am EST

One more thing NOT TOO BRIGHT...it is apparent you are part of both boards. What GREAT credentials!

T
T
the REAL flyincoach
Spokane, US
Jan 07, 2010 2:26 am EST

Hey 'NOT TOO BRIGHT' Nobody here is going to listen to you, so go back to being brainwashed by the wonderful 'experts'. They may have you impressed, but not anyone here. If you really search all of the posts here, ours are the most recent...it takes some digging around, but you will be astonished by the hundreds of us who are on to that scam. WAKE UP!

T
T
the REAL flyincoach
Spokane, US
Jan 07, 2010 2:19 am EST

PS...I know how to spell, I just can't type! LOL!

T
T
the REAL flyincoach
Spokane, US
Jan 07, 2010 2:13 am EST

Sorry, who_I_am, I meant 'brightalberta, ...I have no idea who bright alberta is, or polo...

T
T
the REAL flyincoach
Spokane, US
Jan 07, 2010 2:11 am EST

I have no idea who _ you_are ~ and I have no idea who POLO is either. You guys have NO CLUE WHAT you are even saying. I am SICK of all you FALSE accusations.Why do you think I am somebody named polo? Apparently someone else must be having the same 'fun' I did on the board that I did, and you think it's me? Shows what you know...NOTHING! I have clearly signed into this forum as flyincoach and it says so in my first post, you know, on the name part? Can you read?.
FYI; that board has ALOT more disguted ENEMIES than just me. I swear oin my DUAGHTER's LIFE that I have NO CLUE who the hell POLO is.
I am top rated AUTHENTIC Coach bag seller on ebay. You can TRY to discredit me all you want . You WON'T do it. You all are very RUDE to any other sellers that aren't on your 'list' and I for ONE am NOT putting up with it.YOU HAVE NO IDEA WHO YOU ARE PLAYING WITH.You all just insulted the WRONG person.
I came on the forum to have fun and make friends with folks I THOUGHT had something in common with, and all I got was disrespected and hassled by a bunch of know it all wanna be's, who don't know beans from barley.
I see them hassle other sellers who get on the board, all the time, and I even defended a couple of them that I felt sorry for. All they do on that board is hassle good people, tear up their listing and give out FALSE information.
What is really a joke, is how they SNITCH and report at least 50 sellers everyday, and then they call others who 'lurk on the forum 'spies'? LOL! They thoroughly investigate anyone who comes on the board, including their past purchases, selling etc. Report everything that they 'think' is wrong, and then they call others spies? What a JOKE! They all are the biggest spy snitches I have ever seen and have caused alot of perfectly good sellers alot of problems. Yes, there are alot of counterfiet bags available. (not on my site) It's really too bad they don't get paid for all that snitching. I am purseonally too busy to bother with such krap. I guess you think you are saving the world.
BOTH forums put one of my bags on the posts, AFTER all the arguing I did with them, and tried to 'insinuate' without actually SAYING it, that the bags were 'questionable'. This was a nasty and deliberate 'attempt' to discredit me. Thank goodness most NORMAL people don't sit on a sit PURSE forums and have orgasms over purses all day! LOL! MY CUSTOMERS are all VERY HAPPY and satisfied. There can be no reason other than what this forum is saying, that better explains their behavior.
Perhaps you are unaware of the MISSION of these forums and are actually naive to what they are all about. Maybe you feel a part of something you think is good? I have no idea. This info wasn't put on the internet by me. I discovered it on a google search about purse forums. It sure does explain the treatment that I, and so may other sellers get when getting onto those forums. I really hope it's not true. There is an investigation going on as we speak and it will all be disclosed eventually.
Who are these so called 'experts'. Do you even have a clue? And WHY do so many people BLINDLY believe everything they say? WHAT are their qualifications? Are they CERTIFIED? Do they have a license to autheticate these bags? Did they go to a college for this? DO THE COMPANIES KNOW that they are representing them? ANy one with a BRAIN would want to know the answers to these questions!

I have been collecting Coach for 3o years and I know them VERY well...I would never take on the 'self appointed position' of authenticating all of their bags! Altho I did submit a number of a fake that is in circulation, that wasn't even ON the EXPERTS list. You will see it in post 271 of the ebay porse forum. It is now ON the list. I have several MORE that are NOT on the list, that I was going to submit, but why should I ? They DO NOT know it all. I am hated because THEY KNOW, that I KNOW who the FAKES are, and it's NOT JUST, the purses.
What is really a shame is all the innocent people that really love purses and just want to have fun. I know for a fact that many of them get turned off by all the nasty posts and remarls. I am sorry I had ANY part of it and NO ONE will ever see me a part of it again. I 'have a life'

And WHAT 'consequenses' are you talking about that I have brought on myself? I have suffered no consequnces of anything. Where do you come up with this bull? If you are referring to not getting onto the PURSE forum, do you really think I could care less or even WANT to go on there anymore? Do you think it's FUN to be arguing with a bunch of imbussiles? LOL! PA~ LEEASE. Just the couple of weeks I was there was enough of a waste of time for me and so is this. However THIS forum, makes sense...Jerri

T
T
the REAL flyincoach
Spokane, US
Jan 03, 2010 10:56 pm EST

I have been a top rated Coach bag seller on ebay since 2002. I tried to get on the purse forun just to have fun. I was immediately attacked and my entire purse site disected and insulted. Even tho I have almost 700 100% positive feedback score with HUNDREDS of extremely happy buyers, iw as to feel like I should just go away.
After watching these 'certain regulars' that monopolize this forum, I noticed it wasn't just me they would run off. It was MANY others as well. I began to defend these poor ladies that were being attacked. The 'clique' is rude and insulting.
I then figured out the scam all on my own. They are using this forum to monopolise the handbag sales on ebay. There is power in numbers, I will be sending this complaint forum to everyone I saw that was attcked on that board. Hopefully we can be rid of them. They are crooks and should all be in jail.

Learn how the rating is calculated

Write a review File a complaint

PurseBlog contacts

Website
forum.purseblog.com
Category
Trending companies
PurseBlog
21 reviews